Hatujui tulipotoka, tunajua tulipo, hatujui tunapokwenda. MUNGU yupo akilini mwetu kurahisisha matumaini ya yale yasiyojulikana. Kifo hakijulikani, siri zake hazijulikani. Au ww unazifahamu?Kwanini huwa mnapenda kutumia KIFO na KUKATIKA PUMZI kama defend ya uwepo wa Mungu?
Hatuna point nyengine ZAIDI YA KIFO?
#YNWA
Hujaelewa jibuHujajibu swali.
Ahsante kwa kutuita wana Mungu barikiwa sana kwa kulitambua hilo"Watu wa Mungu" Hamuwezi kujibu hoja bila kum "attack" mtoa hoja?
Hamuoni hata huyo Mnayemyetea anawashangaa?
#YNWA
Hamna anataka yaleMungu ndio ANAYATAKA HAYA?
#YNWA
Tulia anza kufikiria kulima nyanya na vitunguu ukauze, kama huna kazi. Supernatural power ipo. Mungu aliumbwa na nani, haitaondoa fact kwamba Mwenyezi Mungu yupo. Na ipo siku kama wasafiri, tutaondoka hapa dunianiMimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.
Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"
Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?
Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.
Kwanini nimefikia hitimisho hilo?
Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.
Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.
1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.
2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.
Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.
Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.
Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.
Nawasilisha.
Mtu akisoma hoja zako kwa makini atagundua kuwa, umeenda Chuo Kikuu wakati hujamaliza hata Chekechea.Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.
Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"
Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?
Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.
Kwanini nimefikia hitimisho hilo?
Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.
Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.
1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.
2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.
Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.
Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.
Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.
Nawasilisha.
Uzuri ukiogopa au usiogope ukitishika au usitishike uhalisia ni kwamba sote tunakufa so tujiandae.Ni kawaida yenu.
Huwa mnatumia vitisho kumaliza hoja zenu.
Kama serikali, ikiona mmezidi "Wanawatumia vitisho tu ili muogope"
Na hasa misikitini kumejaaa vitishoooo tu vya kifooo yaani ni full vitishoooo.
Haya nishaogopa NANYAMAZA.
#YNWA
Hii komenti yako wafia dini na walokole waki iona watakushushia mvua ya matusi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mungu ni jinga sana...linashindwa kujiweka wazi linajificha uko machakani linaacha mazombi yake ndio yanalitetea halafu cha ajabu na menyewe hata hayajiongezi hehehehe endeleen kumtetea huyo kima wenu.
Binadamu ndio mwenye kuitafuta imani, ni wewe utakaye itafuta imani na Wewe ndiye wa kumtafuta Mungu, Mungu amesha kuumba na kukupa akili na maarifa .. , anakujua wewe ni mtoto wake, sasa utachagua imani ipi yakufaa zaidi.....!!!!Aliye tuwekea hii imani ndani ya mioyo yetu ni nani??
Kama ni Mungu mwenyewe mbona kaweka imani tofauti tofauti baina ya watu kuna wenye imani za kikristo na kuna wenye imani za kiislamu.
Sasa je hizi imani mbona zinapingana na kutofautiana mitazamo??
Yan watu wamekuwa misukule kwenye hii miimani ya ajabuajabu...Hii komenti yako wafia dini na walokole waki iona watakushushia mvua ya matusi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hakuna haja ya kumtukana huyo... Hata amtukane Muumba wake haipunguzi wala kuongeza chochote kwenye utukufu wa Muumba Mbingu na ardhi na vyote vilivyomo... Vinavyoonekana na visivyoonekana. AHSANTEHii komenti yako wafia dini na walokole waki iona watakushushia mvua ya matusi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ishu ya Mungu ni Uongo... Je ulijiumba mwenyewe!? Mfano maji ni kitu muhimu sana kwa ajili ya uhai wetu.. Je haya maji uliyaleta WEWE(AU KIBURI TU NDUGU YANGU??)Kiranga wachungaji walimkimbia ila nachojua ni kwamba man created god is their own image,issue ya mungu ni uongo wa zama na zama.
Nikuulize swali.. Hivi mtu akikupa zawadi ya thamani sana Si utamshukuru kwa zawadi hiyo!?.., BILA SHAKA JIBU NI NDIYO (HIVYO BASI TUNAMUAMINI MOLA WETU KAMA SHUKRANI YETU KWAKE KWA NEEMA MBALIMBALI ALIZOTUPA)Asilimia Tisini na tisa ( 99% ) ya wanadamu duniani wana mwamini Mungu kwa HOFU za kidini..si kwamba wana amini Mungu yupo kwa moyo wao wote bali wanahofia endapo wasipo amini kulingana na mafundisho yao ya kidini eti wakifa watachomwa moto milele.
Binadamu wanamwamini Mungu kwa hofu za kidini tu...ila nina uhakika asilimia mia moja wanadamu wote huwa wana jiuliza huyu Mungu mwenye huruma na upendo wa kweli kama mafundisho yao yanavyo wafunza Yupo kweli????
Kwaiyo wewe ndiye uliyeomba uumbwe au huyo mungu ndiye aliamua akuumbe bila hata wewe kumuomba?Nikuulize swali.. Hivi mtu akikupa zawadi ya thamani sana Si utamshukuru kwa zawadi hiyo!?.., BILA SHAKA JIBU NI NDIYO (HIVYO BASI TUNAMUAMINI MOLA WETU KAMA SHUKRANI YETU KWAKE KWA NEEMA MBALIMBALI ALIZOTUPA)
Na sio eti kwa kuhofia... We do it out of love& gratefulness. AHSANTE
Je kusema ahsante kwa baba yako kwa nguo alizokununulia licha ya kwamba alikuzaa yeye mwenyewe ni jambo baya!? ... Bila shaka ni jambo zuri.Kwaiyo wewe ndiye uliyeomba uumbwe au huyo mungu ndiye aliamua akuumbe bila hata wewe kumuomba?
yeye si ndio kakuumba kwa mujibu wa imani zenu?
sasa kama yeye ndio kakuumba kwa kutaka kwake mwenyewe, kukupa hizo neema si ndio wajibu wake?
kwa nini iwe ni zawadi?
kwa nini umshukuru?
ulimuomba akuumbe?
Halafu nikisema huyo mungu ni dikteta na nyie ni misukule yake unaona nawatukana!!!
Yani mtoto umzae mwenyewe, kwa sababu ya starehe zako mwenyewe, halafu ukimnunulia nguo unataka akushukuru??!!!
Huyo ni mtoto wako au msukule wako?
Imagine unaambiwa eti umepewa uhuru wa kuchagua halafu ukichagua upande tofauti na mungu unaadhibiwa.Na bado watu wanakubali wana uhuru wa kuchagua!!Asilimia Tisini na tisa ( 99% ) ya wanadamu duniani wana mwamini Mungu kwa HOFU za kidini..si kwamba wana amini Mungu yupo kwa moyo wao wote bali wanahofia endapo wasipo amini kulingana na mafundisho yao ya kidini eti wakifa watachomwa moto milele.
Binadamu wanamwamini Mungu kwa hofu za kidini tu...ila nina uhakika asilimia mia moja wanadamu wote huwa wana jiuliza huyu Mungu mwenye huruma na upendo wa kweli kama mafundisho yao yanavyo wafunza Yupo kweli????