reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But actually mtu akiwa mpole, atakuwa mkimya na mtuliivu.Kwanza upole ni Tabia Nani wachache mno wenye hyo Tabia tatizo letu wengi tunachanganya utulivu na upole tunafikiri utulivu au ukimya ni Tabia lahasha...watu wengi wanaweza kuwa wakimya au watulivu lakin si wapole...dada zetu wanapigwa Chenga Sana maana wengi hawajui kutofautisha hiki kitu.
Ni kweli ila siyo sana ni kidogo tu[emoji23]Upole ni tabia nzuri ndio maana watu wengi hupenda kujinasibisha nayo.
Ila wewe ni kapole sana hata mwandiko wako tu unaonekana[emoji1787]
Tutake radhi tafadhali
Wakipandwa na hasira hutaamini!!
.msisahau hao watu visasi vyao huwa ni vikubwa na vinaishia kmya kmya
.madomo zege ya kutupwa[emoji3]
.wanajishtukia kila wakat
.wanapenda nyimbo za taratibu
.ni washenzi
.kwenye sherehe bila kulia chakula ndani bora aache kula na aondoke
.wanapenda vibaya
.....
Hapo kwny no 3 koleza msitari kbs, Huyo ni mm kbs