Unajuaje kama dunia inalizunguka jua?

Unajuaje kama dunia inalizunguka jua?

Kwa sababu dunia inajizungusha kwenye mhimili wake!!


Kwa sababu orbit ya jua sio perfect circle Bali ni elliptic hivyo hufanya wakati mwingine kuwa mbali na dunia na wakati mwingine kuwa karibuni basis ndio sababu ya mabadiliko ya misimu.


Hayo ndo majibu niliyoyapata lakini nimeshindwa kuona viashiria vya dunia kuizunguka jua!! Najuaje kwamba dunia inaizunguka jua?
HIVI UNAFAHAMU MAANA YA VIASHIRIA?
 
Hoja zipi wakuu, hapa tunajadili ili kuelimishana, Kama nyie mnafahamu inapaswa muwekee ufahamu wenu sa shuleni unafundishwa tu lakini hivyo unavyofundishwa vinakupa maswali mengi,.
Vipi komenti yangu no 19 haijakusaidia ??
 
Basi unatakiwa kujua kanuni hii MIEZI (MOONS) HUZUNGUUKA >>>SAYARI (PLANET) >>> JUA (STAR) >>> GALAXY >>> ULIMWENGU (UNIVERS). thesym
Kujua kwa kuambiwa bila kuwa na viashiria wa uthibitisho wa hicho unachoambiwa ni bora usijue kabisa. Sasa mkuu mi nataka viashiria vya hiyo kanuni kiasi cha kwamba hats layman anaweza kukuwelewa. Bado umeshindwa kunifafanulia yakinifu.
 
Hapa duniani kuna watu wenye akili wana tabia ya kuunda vitu/hali abstract ili wafanye biashara au wapate sifa.. So don't trust anything abstract... Inaweza Kuwa strategy ya biashara.. Mf. Kabla ya Galilei, watu waliaminishwa kupitia vitabu na hadithi na kila kitu kilichowezekana kwamba jua huzunguka dunia.( wakafanya business hapa). Baadaye ikatokea dhana ikabadilishwa ati kumbe ni dunia huzunguka jua...kuanzia hapo ndo nikapuuza dhana yoyote abstract..mpaka nione hiviii real object ndo naamini. Don't trust anything abstract.
 
Kujua kwa kuambiwa bila kuwa na viashiria wa uthibitisho wa hicho unachoambiwa ni bora usijue kabisa. Sasa mkuu mi nataka viashiria vya hiyo kanuni kiasi cha kwamba hats layman anaweza kukuwelewa. Bado umeshindwa kunifafanulia yakinifu.
Kwani mkuu, hiyo kanuni ya kwamba JUA (star) inaizunguuka DUNIA (earth) umeipata wapi ............... na inaviashiria gani ????
 
Kwani mkuu, hiyo kanuni ya kwamba JUA (star) inaizunguuka DUNIA (earth) umeipata wapi ............... na inaviashiria gani ????
Naona kwa macho kabisa jua linatoka mashariki linaenda magharibi, naweza kuangalia kabisa jinsi angle na urefu za vivuli zinavyochange hata kwa kutengeneza sundial kiashiria kwamba orbit ya jua haiko perfect circle, unaweza Ukadetermine hata misimu kwa kutumia mabadiliko ya kivuli hasa kwenye hiyo sundial kujua misimu Hapa duniani. Hivyo ni baadhi ya vitu vinanifanya niulize unajuaje kwamba dunia inaizunguka jua?
 
Naona kwa macho kabisa jua linatoka mashariki linaenda magharibi, naweza kuangalia kabisa jinsi angle na urefu za vivuli zinavyochange hata kwa kutengeneza sundial kiashiria kwamba orbit ya jua haiko perfect circle, unaweza Ukadetermine hata misimu kwa kutumia mabadiliko ya kivuli hasa kwenye hiyo sundial kujua misimu Hapa duniani. Hivyo ni baadhi ya vitu vinanifanya niulize unajuaje kwamba dunia inaizunguka jua?
Vipi mbona unaamini uwepo wa MUHIMILI WA DUNIA je wenyewe umewahi kuuona kwa macho yako ????
 
Vipi mbona unaamini uwepo wa MUHIMILI WA DUNIA je wenyewe umewahi kuuona kwa macho yako ????
Sijawahi kuuona, na sijui umejuaje Kama "ninaamini" kama unavyodai by the way kutokuuona huo muhimili kwa macho inathibisha vipi kwamba dunia inaizunguka jua yaani unajuaje kwamba dunia inaizunguka jua?
 
Sijawahi kuuona, na sijui umejuaje Kama "ninaamini" kama unavyodai by the way kutokuuona huo muhimili kwa macho inathibisha vipi kwamba dunia inaizunguka jua yaani unajuaje kwamba dunia inaizunguka jua?
Naamini unaamini na ndio maana uliweza kumjibu Polisi jamii swali lake (rejea majibu yako no #15) Labda kama majibu yako unayakataa. Kwa mantiki ya kuamini visivyoonekana kwa macho,kwanza inakubidi utengue kauli yako uliyosema no #29, pili unatakiwa kuamini kutokana na matokea ya kinachoelezwa. Sasa nakurudisha tena kwenye komenti yangu no #19 na wewe ukanijibu kwenye komenti yako no #23 kwa kusema nanukuu " kusema bila viashiria si kitu ni bora kutokujua, sasa mkuu mimi nataka viashiria" mwisho wa kunukuu. Kwahiyo nakupa VIASHIRIA vya kitendo cha DUNIA kuzunguuka JUA nayo ni KUPATA MISIMU,ambayo ni MASIKA NA KIANGAZI.
 
labda kabla ya kuendelea na mada wewe unaamini dunia iko stationary yaani hata kujizungusha yenyewe kwa mimili wake haizunguki,? but yenyewe ndo inazungukwa na other bodies
 
Naamini unaamini na ndio maana uliweza kumjibu Polisi jamii swali lake (rejea majibu yako no #15) Labda kama majibu yako unayakataa. Kwa mantiki ya kuamini visivyoonekana kwa macho,kwanza inakubidi utengue kauli yako uliyosema no #29, pili unatakiwa kuamini kutokana na matokea ya kinachoelezwa. Sasa nakurudisha tena kwenye komenti yangu no #19 na wewe ukanijibu kwenye komenti yako no #23 kwa kusema nanukuu " kusema bila viashiria si kitu ni bora kutokujua, sasa mkuu mimi nataka viashiria" mwisho wa kunukuu. Kwahiyo nakupa VIASHIRIA vya kitendo cha DUNIA kuzunguuka JUA nayo ni KUPATA MISIMU,ambayo ni MASIKA NA KIANGAZI.
OK ni rukhusa kuamini chochote vile ni sawa, kidogo nikusahihishe haina ulazima wa kukubali kitu mpaka ukione, naweza kukubali na kitu kwa logic hata kwa mathematically proof ili mradi tu uwe na observation na description zinazoeleweka, kuhusu swala la kubadilika kwa misimu ndo kiashiria inawezekana ikawa hivyo swali lipo hivi kwani jua kuzunguka dunia haiwezi ikasababisha kubadilika kwa misimu? Ni lazima dunia iuzunguke jua ndo unapata misimu?
 
labda kabla ya kuendelea na mada wewe unaamini dunia iko stationary yaani hata kujizungusha yenyewe kwa mimili wake haizunguki,? but yenyewe ndo inazungukwa na other bodies
Mimi siamini Kama dunia inaspin yaani inarotate ila najua Kama dunia inarotate kwenye mhimili wake.
Ukisoma mada yangu si kwamba nimesema dunia ipo stationary la hasha ila napatwa na maswali mengi kuhusu hii heliocentric theory na wala siipingi ndo maana nikajiuliza unajuaje Kama dunia inaizunguka jua? Bado sijapata majibu yakuridhisha.
 
OK ni rukhusa kuamini chochote vile ni sawa, kidogo nikusahihishe haina ulazima wa kukubali kitu mpaka ukione, naweza kukubali na kitu kwa logic hata kwa mathematically proof ili mradi tu uwe na observation na description zinazoeleweka, kuhusu swala la kubadilika kwa misimu ndo kiashiria inawezekana ikawa hivyo swali lipo hivi kwani jua kuzunguka dunia haiwezi ikasababisha kubadilika kwa misimu? Ni lazima dunia iuzunguke jua ndo unapata misimu?
Basi kama ni kwa logic imeshadhibitishwa na WANASAYANSI WA MAMBO YA ANGA KARIBIA WOTE DUNIANI kuwa DUNIA NDIO HUZUNGUUKA JUA INAPASWA UAMINI HIVYO NA WAMEKULETEA VIDHIBITISHO VINGI TU. Kidhibitisho kimojawapo ni ILE VIDEO NILIYOKUWEKEA COMENT YANGU NO #8.
 
ulitaka kujiona leo upo washington,kesho shangai,keshokutwa sydney,mtondogoo abuja ndio ujue unazunguka?
 
Basi kama ni kwa logic imeshadhibitishwa na WANASAYANSI WA MAMBO YA ANGA KARIBIA WOTE DUNIANI kuwa DUNIA NDIO HUZUNGUUKA JUA INAPASWA UAMINI HIVYO NA WAMEKULETEA VIDHIBITISHO VINGI TU. Kidhibitisho kimojawapo ni ILE VIDEO NILIYOKUWEKEA COMENT YANGU NO #8.
Sina tatizo kabisa na hao wanasayansi nimesoma Copernicus na revolution of heavenly bodies, kwa sasa pia napitia Principia ya newton pia nazifuatilia Kepler theories zote pia naziangalia experiments za Galileo pamoja na Almagest ya Ptolemy, hiyo video nimeangalia kuna kitu kimoja nilichokuwa nakitaka hasa "sidereal" lakini jamaa hakuelezea kuhusu "synodic" hizi concepts ndio real orbit ambazo zinaonyesha dunia pamoja na sayari zingine zinazunguka jua na sio na observations zake hata ww unaweza zifanya. Sio mnaniambia sijui usiku na mchana, kubadilika kwa misimu, hivi viashiria mimi naviona viko weak Sana kuonyesha dunia inaizunguka jua. Pia io video kiasi kikubwa ilikuwa anaeleze maswala ya kalenda tu.
 
Back
Top Bottom