Unajuaje kama dunia inalizunguka jua?

Unajuaje kama dunia inalizunguka jua?

Hii mifano yako unaweza kuifanyia simple prac demonstration na ukamuelezea MTU na akakuwelewa.


Hiyo wala sio hoja yangu ya msingi na siwezi kuweka hii hoja kwa sababu ilishawekwa humu na chief mkwawa
Je! ni kweli dunia inazunguka jua?


Yawezekana ikawa hivyo kwa jinsi unadhani, hoja zangu hazipo kwa ajili ya kuipinga heliocentric na kuikubali geocentric, Mimi ninachotaka kufahamu ni kwamba unajuaje kwamba dunia inaizunguka jua?.


Yeyote anaweza kuamini chochote kile anachoona yeye ni sawa wala haina shida, ila kisayansi lazima hiyo nadharia iwe ni testable kwa kutumia observation na experiment tofauti tofauti, kwa hiyo hao wasemao dunia flat kama wana observations ambazo zinaeleweka haina shida pia naweza kukubaliana nao au pia nikakataa endapo nitakuwa na observation nyingine ambayo inaiprove wrong hiyo nadharia.


Sikuanzisha hii nyuzi ili kusupport geocentric theory kama unataka mjadala wa hivyo ulishawekwa kitambo kwenye hii link
Je! ni kweli dunia inazunguka jua?


Hata mi naona unanipotezea mda tu, maana kwenye post yote hakuna hata sehemu moja inayojibu swali langu
Unajuaje kama dunia inalizunguka jua?.
Inaonekana suala hili umelifuatilia kwa muda mrefu. Kwenye hizo thread ulizozirejelea hapa (sina muda wa kuzipitia) hukupata jibu mpaka nawe uanzishe thread ile ile na kupotezea watu muda bure wakati mada yenyewe ilishaongelewa kwa kina na mapana?
 
Inaonekana suala hili umelifuatilia kwa muda mrefu. Kwenye hizo thread ulizozirejelea hapa (sina muda wa kuzipitia) hukupata jibu mpaka nawe uanzishe thread ile ile na kupotezea watu muda bure wakati mada yenyewe ilishaongelewa kwa kina na mapana?
Narudia tena, sikuanzisha hii nyuzi ili kuichalenge heliocentric wala kusuport geocentric kwa sababu hiyo nyuzi ipo humu, nimekiwekea hiyo nyuzi kwa sababu we ndo ulikuwa unataka kunipeleka huko huku ukiniambia nigoogle kuhusu hayo mambo. Mimi sipo huko na wala hiyo nyuzi si sehemu pekee ambayo mi naitumia kujifunza, hata wewe pia kwangu Mimi unaweza kuwa ni sehemu ya kujifunza ndo maana nimeuliza unajuaje kama dunia inaizunguka jua? Swali langu linakubaliana kabisa na jua kuwa stationary ninachotaka hapo ni supporting evidences. Vinginevyo hapa nadhani utakuwa unanipotezea muda kama ulivyodai nakupotezea muda kwa sababu hakuna jibu unalolitoa.
 
Hii mambo ngumu sana ndio maana hata mwandishi wa bible alichemka baada ya kusema jua lilisimamishwa wakati jua hali-move.
 
Hii mambo ngumu sana ndio maana hata mwandishi wa bible alichemka baada ya kusema jua lilisimamishwa wakati jua hali-move.
Ooooooh mi sipo huko mkuuu.
 
Narudia tena, sikuanzisha hii nyuzi ili kuichalenge heliocentric wala kusuport geocentric kwa sababu hiyo nyuzi ipo humu, nimekiwekea hiyo nyuzi kwa sababu we ndo ulikuwa unataka kunipeleka huko huku ukiniambia nigoogle kuhusu hayo mambo. Mimi sipo huko na wala hiyo nyuzi si sehemu pekee ambayo mi naitumia kujifunza, hata wewe pia kwangu Mimi unaweza kuwa ni sehemu ya kujifunza ndo maana nimeuliza unajuaje kama dunia inaizunguka jua? Swali langu linakubaliana kabisa na jua kuwa stationary ninachotaka hapo ni supporting evidences. Vinginevyo hapa nadhani utakuwa unanipotezea muda kama ulivyodai nakupotezea muda kwa sababu hakuna jibu unalolitoa.
Hujajibu swali langu. Umeweka reference ya mi thread kibao kuhusu the same issue. Kwa nini nawe umeanzisha thread ile ile? Unatafuta nini? That's what I was asking. Just a simple question sir japo "wasomi" nyie mna tabia ya ku complicate mambo na kujibu hata msivyoulizwa.
 
Kwangu mi hili swala la misimu naona ni hoja dhaifu kwa sababu naweza nikakwambia kwa sababu orbit ya jua ni elliptic hivyo hufanya nyakati misumu kubadilika. Mfano astronomer zamani waliweza kutumia sundials huku wakidhani dunia ni fixed na bado waliweza kupredict misimu.
Mkuu hapo mwezi Tisa Tanzania mikoa ya kusini kutatokea na total solar eclipse(kupatwa kwa jua), mkuu kama upo interested na unapenda hesabu mi nikutafute tuanze kufanya prediction ya mda, na maeneo ambayo total eclipse na maeneo ambayo wanaweza kuona partially huku tukiassume dunia ni stationary tuone ni kiasi gani tupo sahihi. Ndo maana kwenye video yako nikakwambia kuna kitu ambacho nilikuwa nakitaka nilikiona jamaa alizungumzia ambayo ni "sidereal" lakini hakueleze "synodic".


Mi sijang'ang'ania, nilichotaka ni kueleweshwa tu.


Ina maana astronomer wote walioprove dunia kuizunguka jua walipaa huo umbali ili kuthibitisha dunia kuizunguka jua, na ukipaa huo umbali dunia unaitambuaje kama hii ndo dunia.
Hiyo ya wewe kwenda huko ndio njia pekee ya wewe kuproof kuwa Dunia inalizunguuka jua. Lakini hao Astronomers wote waliweza ku proof hilo kwa kuona misimu ya dunia ikibadilika na hawakubisha ktk hilo kwa vile liko wazi, lakini wewe unapinga ndio maana nimekuambia hivo.
 
Hujajibu swali langu. Umeweka reference ya mi thread kibao kuhusu the same issue.
Dah aiseeh unachosha,mbona hiyo thread ni moja tu, ina maana hata kufungua hukufungua, hiyo thread na hii ni tofauti.
[
Kwa nini nawe umeanzisha thread ile ile? Unatafuta nini?
Umetumia vigezo kusema thread ni ile ile, umeilewa kweli hii thread, hii thread wala haisuani na hiyo ebu nisome mwanzo wa hiyo thread.

That's what I was asking. Just a simple question sir japo "wasomi" nyie mna tabia ya ku complicate mambo na kujibu hata msivyoulizwa.
Kwa nini unaniita Mimi "msomi"? Mzee kama huna cha kujibu jaribu kujifunza zaidi ili nasi wenye uwelewa mdogo tuendelee kujifunza zaidi na si kupoteza mda.
 
Hiyo ya wewe kwenda huko ndio njia pekee ya wewe kuproof kuwa Dunia inalizunguuka jua. Lakini hao Astronomers wote waliweza ku proof hilo kwa kuona misimu ya dunia ikibadilika na hawakubisha ktk hilo kwa vile liko wazi, lakini wewe unapinga ndio maana nimekuambia hivo.
Naomba publication ya Huyo astronomer aliyetumia hiko kigezo inawezekana nikawa naelewa tofauti.
 
Dah aiseeh unachosha,mbona hiyo thread ni moja tu, ina maana hata kufungua hukufungua, hiyo thread na hii ni tofauti.
[
Umetumia vigezo kusema thread ni ile ile, umeilewa kweli hii thread, hii thread wala haisuani na hiyo ebu nisome mwanzo wa hiyo thread.


Kwa nini unaniita Mimi "msomi"? Mzee kama huna cha kujibu jaribu kujifunza zaidi ili nasi wenye uwelewa mdogo tuendelee kujifunza zaidi na si kupoteza mda.
Yeah! Wewe ni "msomi" tena mwenye Hp.D. Kwa kurudia thread ile ile huku ukijua kuwa ilishawahi kujadiliwa tena na tena unataka nikuiteje ndugu? Hata mimi kusema kweli umenichosha and I am out. Endelea kukomaa na thread yako ndugu. God bless!
 
Mtoa mada mi nakupa heshima yako, umeuliza kitu cha msingi sana na wote waliochangia hakuna alie toa majibu ya msingi aidha nao hawajui au wamekariri vibaya. Kuna watu wamesema soma jiografia kidato cha kwanza, hakitoi majibu mle kuna ushaidi wa dunia ni duara na dunia kuzunguka kutoka magharibi, pia majira ni kiashiria hafifu cha dunia kulizunguka jua na kuhusu sayari zingine kupata usiku na mchana hatujaona huko mchana unakuwaje ktk hizo sayari. Babu yangu anaamini jua ndio linazunguka na majira huletwa na mungu, sasa wasomi toeni ushahidi ambao hata babu yangu atauelewa sio kuleta bla bla na theory za kukariri
 
Nina imani kwamba wengi wanakubaliana kwamba jua ndio ipo Kati na kila sayari ikiwemo dunia katika mfumo wetu wa jua inaizunguka jua. Lakini sasa mtu ni ngumu kuashiria kwamba dunia inaizunguka jua.

Mwingine anaweza kusema jua ndo linaizunguka dunia maana mtu unaona kabisa jua linatoka mashariki linaenda magharibi kutokana na uwelewa wake..

Sasa kwa mtu kama huyu na mwingine na wale pia wenye uwelewa mdogo kuhusu hili swala, je unajuaje kwamba dunia inaizunguka jua? Yaani ni viashiria gani ambavyo unaweza kumwambia MTU kwamba dunia inaorbit jua na mtu akakuwelewa?
Mwambie apande gari alafu aiangalie miti ataona gari linafata miti au miti inafata gari? Mbona rahisi tu atakama aujasoma niraisi kujua
 
Naamini unaamini na ndio maana uliweza kumjibu Polisi jamii swali lake (rejea majibu yako no #15) Labda kama majibu yako unayakataa. Kwa mantiki ya kuamini visivyoonekana kwa macho,kwanza inakubidi utengue kauli yako uliyosema no #29, pili unatakiwa kuamini kutokana na matokea ya kinachoelezwa. Sasa nakurudisha tena kwenye komenti yangu no #19 na wewe ukanijibu kwenye komenti yako no #23 kwa kusema nanukuu " kusema bila viashiria si kitu ni bora kutokujua, sasa mkuu mimi nataka viashiria" mwisho wa kunukuu. Kwahiyo nakupa VIASHIRIA vya kitendo cha DUNIA kuzunguuka JUA nayo ni KUPATA MISIMU,ambayo ni MASIKA NA KIANGAZI.
Swali nikwamba sisi ndio tunafata jua au jua ndolina tufata sisi mbona silewi
 
Nina imani kwamba wengi wanakubaliana kwamba jua ndio ipo Kati na kila sayari ikiwemo dunia katika mfumo wetu wa jua inaizunguka jua. Lakini sasa mtu ni ngumu kuashiria kwamba dunia inaizunguka jua.

Mwingine anaweza kusema jua ndo linaizunguka dunia maana mtu unaona kabisa jua linatoka mashariki linaenda magharibi kutokana na uwelewa wake..

Sasa kwa mtu kama huyu na mwingine na wale pia wenye uwelewa mdogo kuhusu hili swala, je unajuaje kwamba dunia inaizunguka jua? Yaani ni viashiria gani ambavyo unaweza kumwambia MTU kwamba dunia inaorbit jua na mtu akakuwelewa?
Nyota na ing'ae kwako
Kwanza ni lazima umjue kama anajua kuwa dunia (earth) ni sayari (planet) na jua (sun) ni nyota (star) kama anajua hili ni rahisi kumuelezea ila kama hili halijui basi kazi inakuwa kubwa zadi, inabidi humuanzishie ile jiografia ya std v.
 
Back
Top Bottom