Unakataa ndoa na kuoa halafu unatoka kimapenzi na wake au waume za watu ndio mazuzu walivyo

Unakataa ndoa na kuoa halafu unatoka kimapenzi na wake au waume za watu ndio mazuzu walivyo

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Kampeni ya kataa ndoa na kuoa inamantiki kwa wasiotoka kingono na wake au waume za watu nje hapo hawa wanachama Ni mazombi.

Ukibisha utapaa mbinguni na mapepo
 
Tupo kuwafariji hao mnaowaita wake zenu cz huku ndo wanakir Wana enjoy..sasa wewe endelea kukaza mmbichwa huo kuwa umeoa na mkeo ni loyal kwako
 
Kampeni ya kataa ndoa na kuoa inamantiki kwa wasiotoka kingono na wake au waume za watu nje hapo hawa wanachama Ni mazombi.

Ukibisha utapaa mbinguni na mapepo
KUwa na adabu na neno zuzu mkuu. Angalia sana usilishushe hadhi, liko katika hadhi ya peke yake juu mawinguni. Halistahili kutunukiwa kwa wazinzi.

Hivyo rekebisha heading yako kwa kuondoa neno mazuzu.
 
Ukipata kitu afu unashinda daily kumzungumzia asiyenacho hii inaleta wasiwasi kuwa u wish usingekuwa nacho. Ukioa au kuolewa just cool with your marriage....kuwika kwa jogoo kuna sababu mkuu
 
Ukipata kitu afu unashinda daily kumzungumzia asiyenacho hii inaleta wasiwasi kuwa u wish usingekuwa nacho.Ukioa au kuolewa just cool with your marriage....kuwika kwa jogoo kuna sababu mkuu
To yeye sounds ur a male undercover
 
Back
Top Bottom