Unakesha kuomba mapacha unamnyima unyumba mumeo unataka wakupe majini mahaba?

wanawakee siwatishiii mtaua famikia zenu

hilooo tundaa n la mumeoo tu

kama unamnyima unataka akale kwa nani akuletee ukimwi


Huko chumban sio kwa maombi uko n kwa kupeana petipeti na kupeana hilo tuna

Wale mnaojifanya ati uwe na jofu ya Mungu unahisi mumeo hana hio hofu

Jua mda gan mume anataka mda gani wa maombi...m nikitaka alafu uamke chumban usali utasalia sebuleni

Kwann usali huku na maumivuu.....

Soma zab ampaye maumivu mwenzie bora jiwe lifungwee shingon mwakee
 
Kuna wakati unaokolewa na moto ukute mkuu ndio maana hupewi.

"Mkiona hamjisikii kufanya na waume zenu Rudin kwa wazazi wenuu....raha ya mume tendo la ndoa"
 

Attachments

  • GXgPEawWIAAE2Pb.jpeg
    16.9 KB · Views: 2
WAKATI MWINGINE MNAWAPA SHIDA KINA MWAMPOSA WAKATI MAJINI MAHABA MNAYAKARIBISHA WENYEWE

NA YAKIINGIA YALE KUTOKA..MUMEO UNAMWONA KAMA MAMA YAKO MZAZI

AKILALA KULIA UNAMPA MZUNGU WA 5

MPAKA LIKUTOKE WEEWEE UTAIJUA HIOO ASHAWACHAKAZA SAANA KAMA SIO GONO UKIMWI KISONONO AMA

UTI TIMILIFU
 
sasa huyu kashikwa kaombewa ndio na umeme umekata unaweza hisi umelogwa
 
Si aoe mwingine tu kwani wanawake wameisha. Kuna mambo si ya kulalamikia wala kushitaki.
 
Kuna wakati unaokolewa na moto ukute mkuu ndio maana hupewi.

"Mkiona hamjisikii kufanya na waume zenu Rudin kwa wazazi wenuu....raha ya mume tendo la ndoa"
Mkuu mkeo kama ana moto huo wenu usiogope anachotakiwa n kujitahidi kukusambazia upendo vizuri mkipigana vita na kusubiri mmalize mwendo
 
Si aoe mwingine tu kwani wanawake wameisha. Kuna mambo si ya kulalamikia wala kushitaki.
Hii kwetu kuisema n last last decision mkuu ndio maana tunawapa ushauri tunawaweka mombini tunawakutanisha na wazazi kikinuka hapo bado unawapa nafasi ya kukaa separate kwa mda kama wataweza kumisiana hapo sasa unasemaa haiwezekan...usemi dir unasema mkajipambanue
 
The bible says...my people are destroyed from lack of knowledge....
 
Evelyn ntakuja na mada moja nzuri kesho hii kunyimana mbaya sana ma boss
Kunyima kidogo ina ruhusiwa, ila isizidi shetani akapata nafasi kuwajaribu tena
Your browser is not able to display this video.
 
Ndoo maana ukienda baraxa wanawaita mara tatu tena ndan ya miezi kadhaa wakiona moto wanawapa go ahead mahakaman kule nako wanaona haya mapepo yapite pemben wanawaapa mda wanawaita hata ndani ya miezi 6 mkiwa mnawashiana hapo wanasema pengine walitamaniana na ukiwakuta waxee wa baraza sijui kama wapo sikuhizi wanamwambia mh hakimu hawa watauwa mna ita karatasi haraka za talaka wamalizane....

Na hapo sio mwisho moto unakuja

Unamali mmeshare wote huyu anasema hapana huyu anasema ndioo

Haya kama sio letaa ushahidi mnakuja mweziujao sio kwambaa awataki msaini talaka

wanawapa mda tena..hapao anakuja huyu na maresit yake og mwingine feki haya mkishindwana wanawarudisha leten waliowaona mkijenga pamojaa aisee acha tyu

Mwisho mkifanya mchezo anarudi mmoja anaenda na cheti cha kifo .h hakimu mzee ama wife alitangulia mbele za haki..hapo

Ntaendelea....
@c2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…