Kevin Prince Boateng yupo Las Palmas kwa Sasa, nadhani alicheza na Gaucho wakiwa Ac Milan. Aliyetendwa na King ni Jerome Boateng[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Hawezi mtaja KING anajua alichofanyiwa
Daah !!! AstaghfirullahRonaldinho alikua akicheza mpira hata malaika wanacha kazi zao wanamuangalia na kushangilia huko mbinguni.
Alizaliwa kucheza mpira na kuuchezea mpira. Hata mpira ulipokua ukifika miguuni kwa Dinho ulikua unajua umefika nyumbani.
Hiv Gaucho alicheza world cup 1994 ??Mkitaka ushuhuda mwengine unaofanana na wa Jerome mtafuteni Ashley Cole juu ya madhira aliyokumbana nayo wakati wa World Cup 1994 quater final, alitenguliwa nyonga hakurudi tena uwanjani. Mpira ulikuwa ukimuona Gaucho ulikuwa unamtii kama vile Mbwa amwonapo chatu.
Umeshindwa kutofautisha kati ya Kevin Prince na Jerome...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Hawezi mtaja KING anajua alichofanyiwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Duuuh kwel kiboko, laiti dinho angekuwa anajua kiswahili n akiona hii comment lazima afurahi sanaRonaldinho alikua akicheza mpira hata malaika wanacha kazi zao wanamuangalia na kushangilia huko mbinguni.
Alizaliwa kucheza mpira na kuuchezea mpira. Hata mpira ulipokua ukifika miguuni kwa Dinho ulikua unajua umefika nyumbani.
Were sio mfuatiliaji wa siasa za Mpira pale Bac. Unasahau roho mbaya ya Guardiola.sasa ilikuwe akashindwa ipa Barcelona japo kombe la mfalme mara moja
MAANA MPIRA WAMTII
Mkitaka ushuhuda mwengine unaofanana na wa Jerome mtafuteni Ashley Cole juu ya madhira aliyokumbana nayo wakati wa World Cup 1994 quater final, alitenguliwa nyonga hakurudi tena uwanjani. Mpira ulikuwa ukimuona Gaucho ulikuwa unamtii kama vile Mbwa amwonapo chatu.
mpira ni mchezo wa timu,ukisikia mtu anakwambia fulani kaipa timu yake anayochezea vikombe huyo akil yake ina matatizo,hakuna mchezaj anaekaba,kudaka na kushambuliasasa ilikuwe akashindwa ipa Barcelona japo kombe la mfalme mara moja
MAANA MPIRA WAMTII
hata costa anafunga tu pale chelsea,messi ana mpira wa taasisi ya mpira(lengo kuchukua kombe)gaucho ana mipira yote ikiwemo ule wa asili ya mpira(burudani)anafunga tu huyo andunje na hajui atafuturu wapi
Gaucho Alikuwa Hachezi Mpira, Bali alikuwa Akiuchezea Mpira...
You nailed it mkuu...Ronaldinho alikua akicheza mpira hata malaika wanacha kazi zao wanamuangalia na kushangilia huko mbinguni.
Alizaliwa kucheza mpira na kuuchezea mpira. Hata mpira ulipokua ukifika miguuni kwa Dinho ulikua unajua umefika nyumbani.
Ahsante kwa kunisahihisha mkuu, ilifanyikia Marekani nadhani ilikuwa 98Mkuu world cup ya mwaka 94 dinho hakuwepo,au unaiongelea ya mwaka 2002?!
Gaucho ni wakipekee
Andunje ameipa Argentina kombe gani?sasa ilikuwe akashindwa ipa Barcelona japo kombe la mfalme mara moja
MAANA MPIRA WAMTII
Gaucho alikuwa fundi wa mpira kupita maelezo