Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nakula mara mbili tu, yani Lunch na dinner basi!
Breakfast sio muhimu sana kwang, always huwa nakula nikijisikia njaa.
Kwamba tusile sasa
Maji na njaa mchezo. Tumbo linakwaruzaNikipata nakula, nikikosa ndo basi tena siku inapita empty nakunywa maji nalala!
Sahihi kabisa,ukiwa huna hela unashambuliwa na njaa vibaya mnoUkiwa na pesa mfukoni ata usipo kula sio shidah maana kwanza ata njaa uwa haiumi
Atakuuwa siyo wa kumsikiliza yule!!!Nafata ushauri wa dokta janabi...kwasiku nakula mara moja tu kipande cha papai,nanasi na avocado.