min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Pokea simu tukalewe 🤣Ni wa kuwaepuka, make ukilewa ndo wanakupiga picha na kupost, ndo wanakusachi......
Kama ulikua unaenda bar akakufata, piga u turn ingia sokoni nunua vitunguu urudi home, baadae umkimbie.