Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Ushaanza kulewa, upo chupa ya 10 na ngapi?Watu ambao hawanywi pombe hata humu duniani sijui wamekuja kufanya niniš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaanza kulewa, upo chupa ya 10 na ngapi?Watu ambao hawanywi pombe hata humu duniani sijui wamekuja kufanya niniš¤
AsantePole ndugu yangu
Tuna ulevi wetu wa kipochi manyoya...Watu ambao hawanywi pombe hata humu duniani sijui wamekuja kufanya nini
Kaone,š¤£š¤£Ushaanza kulewa, upo chupa ya 10 na ngapi?
Mkuu kuna watu wameahidiwa mito ya pombe ila wewe unabezaš¤Hayo mapombe ni kuelewa tu
Wala sio starehe
Sawa mkuuMkuu kuna watu wameahidiwa mito ya pombe ila wewe unabezaš¤
Hata introvert tuna burudani zetu jamaaWatu ambao hawanywi pombe hata humu duniani sijui wamekuja kufanya niniš¤
Naijua hiyo mnapiga nyeto kinoumaš¤£Hata introvert tuna burudani zetu jamaa
Mzee wangu wee miyeyusho ujueWatu ambao hawanywi pombe hata humu duniani sijui wamekuja kufanya niniš¤
Hapana kijana wangu , kwahiyo unataka ni danganye uhalisia wangu mkuu?š¤£Mzee wangu wee miyeyusho ujue
Basi buruda Mzee wangu Wacha iwe.Hapana kijana wangu , kwahiyo unataka ni danganye uhalisia wangu mkuu?š¤£
Mimi nakunywa pombe chumbani kwangu , huna hela club unafuata niniš¤£Basi buruda Mzee wangu Wacha iwe.
Tatizo ukienda club alafu ukaona WANAUME wenzio wanakunywa Hennessy asee unajiona Mimi nimefata nini hapa club mbona nadhalilika hivi.Unaanza kujipa Moyo Wacha nizisake alafu ukizisaka hazisakiki unaamua kurudi home mkoani unaanza kuitwa Jina jipya MAKMUGA
Kucheki movie jee, au ball?Au kusoma kitabu kizuri nayo ni bata la kufa mtu.
Aaaani unaenjoi kinyamaa, tena ukute mwandishi ana ma experience ma phDoctorate huko madude hatari. Aaaah ni bata batani usipimeš š š„²
Ball kwangu sipo, ila muvie naenjoigi sana hasa kama una ka exposure kidoogo ka kile kinachozungumziwaKucheki movie jee, au ball?
Sawasawa.Ball kwangu sipo, ila muvie naenjoigi sana hasa kama una ka exposure kidoogo ka kile kinachozungumziwa