min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Pole sana mkuu, bongo pombe nyingi ni chafu na hazina hekima sijui tbs wapo wap🤔nakunywaga kidogo za kununuliwa, natamani niwe nakunywa nionekane mwamba na nini...
lakini nikifikiria ilivyomuua mzee wangu naona sio vizuri