Pokea simu tukalewe 🤣Ni wa kuwaepuka, make ukilewa ndo wanakupiga picha na kupost, ndo wanakusachi......
Kama ulikua unaenda bar akakufata, piga u turn ingia sokoni nunua vitunguu urudi home, baadae umkimbie.
Kuna mambo mengi ukiachana na pombe na wanawake(hapa namaanisha michepuko/zinaa) vitu viwili ambavyo vinarudisha maendeleo nyuma kwa spidi kubwa sanaMtu utasikia anadai anaenda sehemu kula bata ila akifika anakunywa soda chips labda na kipande cha kuku. Kwani kula kwa tunavyohisi ni kitendo cha starehe yaani yawe mambo yenye utofauti kidogo na unayofanya kila siku.
Wewe kwa upande wako ukisema unaenda kula bata unamaanisha mambo gani haswa.
Well said.. 🤝Hizo ambazo umezingumzia hapo juu
Wanawake
Pombe
Sigara
Shisha
Mziki wenye kelele
Hizo zinaitwa Anasa na sio Bata.
Endeleeni kujifarijiWatu ambao hawanywi pombe hata humu duniani sijui wamekuja kufanya nini🤔
Kuwashangaa ninyi mnao tumiaWatu ambao hawanywi pombe hata humu duniani sijui wamekuja kufanya nini🤔
Pole ndugu yanguWatu ambao hawanywi pombe hata humu duniani sijui wamekuja kufanya nini🤔
😅😅😅😅😅😅Watu ambao hawanywi pombe hata humu duniani sijui wamekuja kufanya nini🤔
Nyie ni wanafki sana🤣🤣 halafu wengi wenu hata kama ni wanaume mna mwanya 🤣 na kabidhi Microphone 🎤 kwa Evelyn SaltKuwashangaa ninyi mnao tumia
Msinionee Gere nikipewa Bikra zangu 72 za kuziowa huko peponiBikra 72 au siyo
Ahahah hapanaaaa bhnaNyie ni wanafki sana🤣🤣 halafu wengi wenu hata kama ni wanaume mna mwanya 🤣 na kabidhi Microphone 🎤 kwa Evelyn Salt
Hiyo inatosha make ushakula Bata.. pengine UNAENDA kwenye anasa bila pombe na wanawakeNashangaa ina mana hata nikimla bata mwemyew sijala bata?
nakunywaga kidogo za kununuliwa, natamani niwe nakunywa nionekane mwamba na nini...mshamba_hachekwi huyu jamaa anasema watu wasinywe pombe kabisa ina madhara makubwa🤣
Palina kama palina niaje bos kubwa😊😅😅😅😅😅😅
Wanajikutaga wamepatia maisha, mtu unakunywa zako bia 10 anaanza daaah unakunywa mfuko wa cement hapo.....Nyie ni wanafki sana🤣🤣 halafu wengi wenu hata kama ni wanaume mna mwanya 🤣 na kabidhi Microphone 🎤 kwa Evelyn Salt
safi braza hope u been wellPalina kama palina niaje bos kubwa😊
Na wamnywaji je?Walevi huwa mna mikwara sana. Utasikia tunaenda kula bata unakuta meza imejaa Serengeti Lite. Nigga?
Sogea sogea dubai na mambele huku uone starehe zingine kwa vitendo kabisa tatizo bongo sisi hatuna kitu na vikiwepo ni Bei rahisi kama wanawake pombe na kulaTaja starehe nnje na pombe wanawake na kula🤣
nakunywaga kidogo za kununuliwa, natamani niwe nakunywa nionekane mwamba na nini...
lakini nikifikiria ilivyomuua mzee wangu naona sio vizuri