Pole sana mkuu, bongo pombe nyingi ni chafu na hazina hekima sijui tbs wapo wap🤔nakunywaga kidogo za kununuliwa, natamani niwe nakunywa nionekane mwamba na nini...
lakini nikifikiria ilivyomuua mzee wangu naona sio vizuri
HahahahaWanajikutaga wamepatia maisha, mtu unakunywa zako bia 10 anaanza daaah unakunywa mfuko wa cement hapo.....
Nami hizo bikira nazisubiri kwa hamu pombe nitakuwa nagida Lita 20 Kila sikuMsinionee Gere nikipewa Bikra zangu 72 za kuziowa huko peponi
Inakuwa nakula watatu watatu Kila Siku wakati huo nyie mnachomwa moto tu 😜
Mkuu kwenye kila starehe ukiweka pombe ina noga zaidi tuulize sisi🤣Sogea sogea dubai na mambele huku uone starehe zingine kwa vitendo kabisa tatizo bongo sisi hatuna kitu na vikiwepo ni Bei rahisi kama wanawake pombe na kula
Mi nasubir Kwa hamu ile ahadi ya mito ya kinywaji, mi ntaomba nipewe mdada Moja tu kazi zangu ni mbili tu kunywa na ...... OvaMsinionee Gere nikipewa Bikra zangu 72 za kuziowa huko peponi
Inakuwa nakula watatu watatu Kila Siku wakati huo nyie mnachomwa moto tu 😜
Mi mzee wangu ameacha kwa kukatazwa na madokta kidogo awahi kukamata viwanja aheranakunywaga kidogo za kununuliwa, natamani niwe nakunywa nionekane mwamba na nini...
lakini nikifikiria ilivyomuua mzee wangu naona sio vizuri
Aya mleviMkuu kwenye kila starehe ukiweka pombe ina noga zaidi tuulize sisi🤣
Hahaha kwahiyo ye anaenda kula uasherati na ufuska juuPOMBE + WANAWAKE = UASHERATI
Wewe Una maendeleo gani mpaka kuspend 30,000 kumwagilia moyo na kumpa katoto pesa ya salon ndio useme unarudishwa maendeleo nyuma? Kwa mEndeleo yepi uliyonayo?Kuna mambo mengi ukiachana na pombe na wanawake(hapa namaanisha michepuko/zinaa) vitu viwili ambavyo vinarudisha maendeleo nyuma kwa spidi kubwa sana
wachaga sio wachoyo kwenye pombe, nikiendaga kwenye sherehe zetu napiga za bureUnapenda kununuliwa pombe ety?
You're absolutely right, madam ,Life is happening right now, so let's enjoy it. We don't know what tomorrow holds, so we might as well make the most of every day.safi braza hope u been well
Huu ndio unaitwa uchawi wenyewe 🤣🤣Wanajikutaga wamepatia maisha, mtu unakunywa zako bia 10 anaanza daaah unakunywa mfuko wa cement hapo.....
Umemaliza mkuu Safi sana hawa watoto wa 2000 wakishashinda Chota mihela wanajiona dunia yote ni yao.Kula bata ni
Kusafiri safari Kwa ndege, boat majini
Kufanya utalii mbugani
Kujipatia stare ya moyo
Mtoa madam anadhani kula bata ni kukaa grocery na kuagiza bapa ya kvant na kahaba mchafu, kucheza mziki wa mapiano hizo ni fujo na bangi
Ahahah kuwamikiniwachaga sio wachoyo kwenye pombe, nikiendaga kwenye sherehe zetu napiga za bure
Hivyo ulivyo taja ukifanya ukiwa na kitu kichwani ndio unaipata maana halisi ya paradise Evelyn SaltKula bata ni
Kusafiri safari Kwa ndege, boat majini
Kufanya utalii mbugani
Kujipatia stare ya moyo
Mtoa madam anadhani kula bata ni kukaa grocery na kuagiza bapa ya kvant na kahaba mchafu, kucheza mziki wa mapiano hizo ni fujo na bangi
Hajamaliza badoUmemaliza mkuu Safi sana hawa watoto wa 2000 wakishashinda Chota mihela wanajiona dunia yote ni yao.
Hayo mapombe ni kuelewa tuHivyo ulivyo taja ukifanya ukiwa na kitu kichwani ndio unaipata maana halisi ya paradise Evelyn Salt