Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Nakumbuka alimtandika ngumi chid benzi pale maisha club, alimpiga bou nako mpaka akalazwa aga khan, Alikuwa ana gym lake block 41 ukitaka kuingi gym lazima upige push up 1000,aliwahi kumnyoa nywele salama wa eatv, yeye ndiye aliyeanzisha mambo ya kusema hiphop sio bongo flava na bado ana chuki na bongo flava mpaka leo, anapinga madawa ya kulevya ila na yeye anatumia mmea, alishawahi kupigana na p funk majani pale bongo records ilikuwa Noma, aliwahi Kuwa na bifu na kingoko, dudubaya n.k.....Ongezea mengine, Kalapina!!!!!!
Ni ustaadh siku hiziView attachment 751532mwenyew huyo hapo
ile wangeenda man to man ,angepigwa tu na bou nakoHiyo kumpiga Bou nako mpk akalazwa sio kweli walimpiga kikundi sio pina peke yake ni story tu... Halaf hiyo na yule mdachi ndo naisikia hapa
Kalapina hajawahi kumpiga Bou Nako.Ukitaka kijua ukweli wa kilichotokea siku hiyo sikiliza ngoma ya Bou Nako na Fidoo jina nimesahau kidogoNakumbuka alimtandika ngumi chid benzi pale maisha club, alimpiga bou nako mpaka akalazwa aga khan, Alikuwa ana gym lake block 41 ukitaka kuingi gym lazima upige push up 1000,aliwahi kumnyoa nywele salama wa eatv, yeye ndiye aliyeanzisha mambo ya kusema hiphop sio bongo flava na bado ana chuki na bongo flava mpaka leo, anapinga madawa ya kulevya ila na yeye anatumia mmea, alishawahi kupigana na p funk majani pale bongo records ilikuwa Noma, aliwahi Kuwa na bifu na kingoko, dudubaya n.k.....Ongezea mengine, Kalapina!!!!!!
Mkuu mdachi alikua boya tu linapokuja swala kikosi cha mizinga walishawahi kumuamsha midnight aatengenezee biti na mdachi alitii bila shurutiHiyo kumpiga Bou nako mpk akalazwa sio kweli walimpiga kikundi sio pina peke yake ni story tu... Halaf hiyo na yule mdachi ndo naisikia hapa
Mdachi naye alikuwa mtata, kama alifanya hivyo basi walikuwa wengi, ila Pina pekeyake asingethubutu kumzinguaMkuu mdachi alikua boya tu linapokuja swala kikosi cha mizinga walishawahi kumuamsha midnight aatengenezee biti na mdachi alitii bila shuruti
Mkuu mdachi kwa pina kama mbwa na chatu ila alikua mbabe kwa kina Afande sele,jose chamilion nkMdachi naye alikuwa mtata, kama alifanya hivyo basi walikuwa wengi, ila Pina pekeyake asingethubutu kumzingua
kalapina ...Uwa azingui ...siku ile alipomjaza ngumi chid Benz ...sialikuwa anapiga show moja pale dar sijui ilikuwa ukumbi gani ..itakuwa ilikuwa dar live au maisha club ...sasa Chid alivamia show ya Pina akachukua maiki huku alikuwa amelewa balaa...akaanza kuimba..mambo ayaeleweki na matusi sasa pina alivyomwambia aludishe maiki Chid akagoma ...ndipo hapo alipochezea kichapo...heavy.Nakumbuka alimtandika ngumi chid benzi pale maisha club, alimpiga bou nako mpaka akalazwa aga khan, Alikuwa ana gym lake block 41 ukitaka kuingi gym lazima upige push up 1000,aliwahi kumnyoa nywele salama wa eatv, yeye ndiye aliyeanzisha mambo ya kusema hiphop sio bongo flava na bado ana chuki na bongo flava mpaka leo, anapinga madawa ya kulevya ila na yeye anatumia mmea, alishawahi kupigana na p funk majani pale bongo records ilikuwa Noma, aliwahi Kuwa na bifu na kingoko, dudubaya n.k.....Ongezea mengine, Kalapina!!!!!!