DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
kalapina ...anaga nguvu aliwai kupewa kichapo na Nuruhel ...tena Nuruhel alikuwa amelewa ...lakn alimpa kichapo...heavy.....Bongo mtu mwenye nguvu ni P.Funky majani....siunakumbuka siku ile Afande sele alipovutia bangi ...kwao na akina P..Funky ...yaani p..funky alipoamka akasikia alufu ya bangi ...ndipo alipompa kipigo mpaka Afande sele akaomba msamaha..yeye na marasta wake...icho ndo kilikuwa kisa cha kumfanya Afande shame dar nakwenda kwao maro.