Unakumbuka Enzi za Kalapina?

Unakumbuka Enzi za Kalapina?

kalapina ...anaga nguvu aliwai kupewa kichapo na Nuruhel ...tena Nuruhel alikuwa amelewa ...lakn alimpa kichapo...heavy.....Bongo mtu mwenye nguvu ni P.Funky majani....siunakumbuka siku ile Afande sele alipovutia bangi ...kwao na akina P..Funky ...yaani p..funky alipoamka akasikia alufu ya bangi ...ndipo alipompa kipigo mpaka Afande sele akaomba msamaha..yeye na marasta wake...icho ndo kilikuwa kisa cha kumfanya Afande shame dar nakwenda kwao maro.
 
kalapina ...anaga nguvu aliwai kupewa kichapo na Nuruhel ...tena Nuruhel alikuwa amelewa ...lakn alimpa kichapo...heavy.....Bongo mtu mwenye nguvu ni P.Funky majani....siunakumbuka siku ile Afande sele alipovutia bangi ...kwao na akina P..Funky ...yaani p..funky alipoamka akasikia alufu ya bangi ...ndipo alipompa kipigo mpaka Afande sele akaomba msamaha..yeye na marasta wake...icho ndo kilikuwa kisa cha kumfanya Afande shame dar nakwenda kwao maro.

noma noma
 
Kalapina hajawahi kumpiga Bou Nako.Ukitaka kijua ukweli wa kilichotokea siku hiyo sikiliza ngoma ya Bou Nako na Fidoo jina nimesahau kidogo
Yaaah man anakuambia anamshukuru boban,yeye anatimbar dar daily ila pina haibuki arusha
 
Pina mtoto mdogo sana tulize Sisi wakongwe wa huko block enzi tangia kundi lililokuwa linaitwa Indiana polis kaka zake pina walikuwepo humo enzi Hizo hakuna kitu kinaitwa kikosi kwanza pina ni muoga wa askari sana sana alikuwa anawapiga watoto mgoba saba tu n'a kuwateka

Ova
Kwa hiyo pina mchumba tu
 
Mdachi naye alikuwa mtata, kama alifanya hivyo basi walikuwa wengi, ila Pina pekeyake asingethubutu kumzingua
Mdachi Alikuwa anaonea watu wazembe kama afande sele unakumbuka alimpiga vibao afande sele pale bongo records
 
Anayejua kilichotokea kati ya Pina na Dudubaya atupe story, maana kila mtu anazungumza lake. Nikimnukuu Dudubaya kwenye interview zake kadhaa anasema tangu azaliwe hajawahi kupigwa wala kupigana, yeye huwa anapiga tu
Pina anasema alimpiga dudubaya mpaka akakimbia pale bill canas kwenye wimbo wake wa beef
 
Back
Top Bottom