Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
- Thread starter
- #41
Mdachi Alikuwa ana bifu na babuu kisa kajalaMkuu mdachi kwa pina kama mbwa na chatu ila alikua mbabe kwa kina Afande sele,jose chamilion nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdachi Alikuwa ana bifu na babuu kisa kajalaMkuu mdachi kwa pina kama mbwa na chatu ila alikua mbabe kwa kina Afande sele,jose chamilion nk
Nasikia anapiga karateBou Nako ni moto wa kuotea mbali...
Baada ya kushindwa kumpiga ngumi walimshambulia na Nondo.
Acha na Mnako yule.
Ilikuwa maishakalapina ...Uwa azingui ...siku ile alipomjaza ngumi chid Benz ...sialikuwa anapiga show moja pale dar sijui ilikuwa ukumbi gani ..itakuwa ilikuwa dar live au maisha club ...sasa Chid alivamia show ya Pina akachukua maiki huku alikuwa amelewa balaa...akaanza kuimba..mambo ayaeleweki na matusi sasa pina alivyomwambia aludishe maiki Chid akagoma ...ndipo hapo alipochezea kichapo...heavy.
Ila sahv kalipina naona game kaliacha ..ameamuwa Kuhost kipind flan Clouds tv kinaitwa Alakati.
Sasa afande mzembe hana mazoezi kupigana hawezikalapina ...anaga nguvu aliwai kupewa kichapo na Nuruhel ...tena Nuruhel alikuwa amelewa ...lakn alimpa kichapo...heavy.....Bongo mtu mwenye nguvu ni P.Funky majani....siunakumbuka siku ile Afande sele alipovutia bangi ...kwao na akina P..Funky ...yaani p..funky alipoamka akasikia alufu ya bangi ...ndipo alipompa kipigo mpaka Afande sele akaomba msamaha..yeye na marasta wake...icho ndo kilikuwa kisa cha kumfanya Afande shame dar nakwenda kwao maro.
Yap exactly, akasahau tu kuiga na yale macheniStyle ya kuvaa eye patch aliiga kwa slick rick.
Ilichezwa mpaka m netMsitari wa mbele ngoma yake bora ya muda wote
Yap kweli mpaka prof jMpaka miraji kikwete alitukanwa humo.
Hii chai sasaAliwahi kumpiga MauFaundi Ngumi ya Koromea hadi leo haongei Vizuri.
Alimpeleka hospital aga khan akamlipia matibabuBoban ndo alimtetea bou au?
Amalinze na wewe kumbe ni Hip HopUnaitwa "Beef ".
Ilikua video bora kabisa kwakipindi kileIlichezwa mpaka m net
Clouds auLakini pamoja na ubabe wote huo,leo hii anawacholea 7 washkaji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uchochezi huo,clouds mbona wote wachoraji wa hiyo 7,pale hakuna awezaye kuchora mojaClouds au
Ile ngoma walimchana sana Pina anasema walivyompiga nondo ya mdomo Haruna Moshi Bobaani ndio ndio alimpeleka hospitalKalapina hajawahi kumpiga Bou Nako.Ukitaka kijua ukweli wa kilichotokea siku hiyo sikiliza ngoma ya Bou Nako na Fidoo jina nimesahau kidogo
Hivi hawa wakina pina siwalikua watoto wa kishua?Pina mtoto mdogo sana tulize Sisi wakongwe wa huko block enzi tangia kundi lililokuwa linaitwa Indiana polis kaka zake pina walikuwepo humo enzi Hizo hakuna kitu kinaitwa kikosi kwanza pina ni muoga wa askari sana sana alikuwa anawapiga watoto mgoba saba tu n'a kuwateka
Ova
Hahah!!Mkuu mdachi alikua boya tu linapokuja swala kikosi cha mizinga walishawahi kumuamsha midnight aatengenezee biti na mdachi alitii bila shuruti
Hahah!! Hii ya kutoa posa kwa blue ilikua ni skendo tuAliwahi tuma posa kwa Mr Blue, Aliwahi mteka Solo Thang