Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
- Thread starter
- #261
Kazaa nayeAlikua anapiga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazaa nayeAlikua anapiga?
Mzee wa powerWindowKumbe lord eyez kibaka
Ndio huyo mtoto wake anaitwa Hindu?Kazaa naye
Bila ya kupepesa macho wewe itakuwa ni Chalii ya Chuga.ile wangeenda man to man ,angepigwa tu na bou nako
Tupe ukweli maana watu wanapotosha sana
Hahah!!Bila ya kupepesa macho wewe itakuwa ni Chalii ya Chuga.
naomba nirushie whatsapp ndugu/0767 52 74 54Ninao
Kwamba?Lakini pamoja na ubabe wote huo,leo hii anawacholea 7 washkaji
hahaa..ndio mantik ya forum mkuu"" kila mtu anatoa mchango wake ..."" so akili kumkichwaDuuh! tutalishwa matango pori sana humu ndani
hahaa...mdole wote huo...kama muogo""View attachment 753740wanampima tezi dume
N2N kwa kuanziaHebu weka list hapa ya waliosaidiwa na Pinna wakawa maarufu.
Hii ngoma nimeitafuta sana siipati, ni kama niite basi remix ya wakali kwanza. Humo napenda yule jamaa anaeimba "nilipodakwa na kichungi, ticha akamwambia dingi...sijui ni nani yule jamaa huwa napenda sana anavyochanaKuna ngoma ya kikosi walimshirikisha Belle 9 inaitwa *maisha yangu nyimbo tosha* ilikua ni ngoma kali sana ila sikuwahi kusikia ikipigwa redioni labda kwasababu ya ukali wa maneno ya Pina
Mkuu ni nyimbo ipi unaitafuta? nyimbo nyingi za kikosi zipo mikito.com hebu jaribu kuingia huko uitafute kama ukiikosa nishtue.Hii ngoma nimeitafuta sana siipati, ni kama niite basi remix ya wakali kwanza. Humo napenda yule jamaa anaeimba "nilipodakwa na kichungi, ticha akamwambia dingi...sijui ni nani yule jamaa huwa napenda sana anavyochana
Poa mkuu, nitaichekMkuu ni nyimbo ipi unaitafuta? nyimbo nyingi za kikosi zipo mikito.com hebu jaribu kuingia huko uitafute kama ukiikosa nishtue.
Nakupata sana mkuu umenikumbusha sana ile verse ya mwana anasema 'sio mida wa stori nyingi' mwenyewe naitafuta ila nikiipata tu nakuweka kwenye tag listHii ngoma nimeitafuta sana siipati, ni kama niite basi remix ya wakali kwanza. Humo napenda yule jamaa anaeimba "nilipodakwa na kichungi, ticha akamwambia dingi...sijui ni nani yule jamaa huwa napenda sana anavyochana
Ha ha ha pamoja sana toka kule kwa FereeeeNakupata sana mkuu umenikumbusha sana ile verse ya mwana anasema 'sio mida wa stori nyingi' mwenyewe naitafuta ila nikiipata tu nakuweka kwenye tag list
Belle kapiga chorus ya kibabe humoHii ngoma nimeitafuta sana siipati, ni kama niite basi remix ya wakali kwanza. Humo napenda yule jamaa anaeimba "nilipodakwa na kichungi, ticha akamwambia dingi...sijui ni nani yule jamaa huwa napenda sana anavyochana
Hatari sana mkuuBelle kapiga chorus ya kibabe humo
Hahahah! Acha tu mkuu Milima haikutani binadamu wanakutanaHa ha ha pamoja sana toka kule kwa Fereeee