Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,240
- 2,010
[emoji3][emoji3][emoji3],imebd niwahi kuonyesha Nia mkuu...[emoji1][emoji1]Umeanza kampeni mapema sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3],imebd niwahi kuonyesha Nia mkuu...[emoji1][emoji1]Umeanza kampeni mapema sana...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaenda mbele kama unarudi nyuma
Mpaka leo huwa najitafakari na hili neno
[emoji38]Hata mie dume zoba silitaki.
Kwamba mahusiano kwa sasa ni kipengele sio[emoji3]Hahaha wao hawanaga huruma kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] anakupiga matukio ya uchi kabisa!!!
Naunga mkono hojaHata mie dume zoba silitaki.
Huwa mnawezaje kumpa hela mwanamke?Kabisa mkuu. Mtu unamfanyia mambo mengi, unamnunulia vingi mwisho siku moja anakuomba 20,000 unamwambia sina hiyo kwa leo, labda nikupe kwanza nusu yake. Anakuita bahili...
😂 😂 😂itakuwa ziro wa akili
[emoji23][emoji23][emoji23] halafuMie hata uniambiaje sikuachi
Nakung'ang'ania
Hivi we mbona hujui kupangilia mavazi unakwama wapi huoni wanaume wenzio?? [emoji23][emoji23]Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction,growth, maturity and decline stage.
Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in.Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.
Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:
"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"
"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"
"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"
"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"
"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
Kumbe alikuwa mdangaji... Chukua mwanao ulee asije rithiMi mwanamke flani nilimpenda kwa moyo mmoja pamoja na kumpa time yangu.Lakini hakuyaona nimezaa naye mtoto mmoja.Keshanicheat sana vya kutosha na wanaume tofauti pamoja na kukuta naked photo anawatumia wanaume wengine.Lakini basi kwa vile nilikuwa namuheshim sikumtukana wala kujibishana naye niliamuwa kumuacha kimya kimya,Basi kakaa akaamuwa kujirudi na kuomba msamaha usiku na mchana na kusema amebadilika anajutia yote,basi nikarudisha moyo nikamsamehe.Akanialika niende kwake nimtembelee pia mi mwenyew nilikuwa nimmis mwanangu kumuona nikasahau yote nikaenda ni mkoani.
Basi ile kufika mkoani kanikaribisha na maisha yakaendelea,tukiwa happy mwanangu akafurahi kuniona.Hata siku moja sikugusia wala kuongelea yale makosa aliyofanya,nikaona ni kurudisha mambo nyuma na kuzua migogoro upya sikugusia kabisa, ki ukweli mi sipendi tafrani kwa kuwa huko nyuma nshapata matafrani nusura yantoe roho ya maisha lakini.
Ile tunaendelea kuishi nkaona mwenzangu kama anabadilika akanza kununa bila sababu, ye kutwa mzima ni simu na tv tu.Mnakaa sebuleni unachoomuuliza ndo anachojibu hamna siku mkae hata muongelee mustakabali ya maisha yetu.
Basi siku moja mi nkaenda mjini make huko tulipo ni kijinini nilienda kununua mahitaji,ile kurudi mida ya saa moja jioni nakuta staff wenzie wapo sebuleni wanatazama mpira afu wa kiume.Sasa mi nikamuuliza mbona una ujasiri wa kuleta wanaume nyumbani kwako huoni hata haya kwa nini hata hukunifahamisha.
Alichonijibu ni kuwa sasa mi ningefanyeje watu wamekuja kutazama mpira ningewafukuza mi nkamjibu hichi so kibanda umiza basi kanununa.Hao jama wameoa na wana tv makwao.
Sasa mi nkajiuliza mfano jamaa mmoja niache ye kaenda mjini mi niende kwa mkewe nimwambie shem hebu washa tv nikae nijitanue kwe sofa mmewe akija atanifikira vipi.
Basi mi nkaondoka kuna kuna mtu alikuwa kaniagizishia vitu vyake nimpelekee.Ile narejea sijawakuta kumbe kawaambia mme wangu hataki kuwaona na hataki mje hapa mi wala sijuwi.Kesho yake kanuna balaa,ilivo fika usiku kaenda lala mi kuna movie nabaki naifatilia kufika saa 4nne usiku nkasema ngoja nkalale mtume!!! kanifungia mlango wa chumbani gonga! mlango wapi nikaamuwa nilale sebuleni.
Usiku mida ya saa kumi na moja kajiamsha anajifanya kushangaa eti ananiplz nikalale chumbani.Mi nkamjibu hapa pia ni pazuri we kalale tu.Akaenda kulala kumekucha yupo mkavu hata kuomba msamaha wala kujutia hamna yupo happy tu.Kuna kipindi Sexy ananijibu hajiskii,mara nimechoka hayupo romantic kabisa mda mwingine nkawa najihisi nimelala brother hata swala la usafi ni Zero .Nikaamuwa kuondoka now nasikia karudia kudanga tena.
"Yaani mb0.0 yako kabla sijakutana na wewe sikufikiria kuna mwanaume yuko hivyo. Ni ndogo sana"
Nilinywea feelings mpaka pvmbu.
Dah sawa tu lakini 😂😂😂Hivi we mbona hujui kupangilia mavazi unakwama wapi huoni wanaume wenzio?? [emoji23][emoji23]
Sent from my SM-S9 using JamiiForums mobile app
Sasa unakuta mwanaume kijana damu inachemka unavaa kama mzee wa mwaka 1940Dah sawa tu lakini [emoji23][emoji23][emoji23]
WowAmnaa
Namanisha Mapenz ya dhati yale mnatembea kukushika Mkono nini Au shati kwa nyuma hivi, basi tu afurah nafsi yake.
Yani hafichi mapenzi yake aliwahi nikiss tukiwa kwnye gari alaf tulikua tumesimama na gar halikua limejaza
Mapenzi hayana umri kiongozi, ukipenda huwezi jali macho ya watuHahahah how ol is she man! Usije kupata kesi na Jamhuri ya Muungano [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa uwiiiiiiiii"Yaani mb0.0 yako kabla sijakutana na wewe sikufikiria kuna mwanaume yuko hivyo. Ni ndogo sana"
Nilinywea feelings mpaka pvmbu.