Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

You seem to be a good boy...tell you what ? Wanawake hawawapendi good boys...mpelekeshe...siku moja usurudi nyumbani...nenda disco lala sehemu nyoa nywele zote mwilini km yule DJ wa gongo la mboto....atanyooka au piga chini leo leo huyo freak atakutesa
Duuh
 
Dah unaoataje nafasi ya kurevenge halafu unaitumia vibaya hivyo.....

Huyo unamkubalia anarudi kuwa na wewe, then siku moja unatafuta demu pisi kali mdangaji unamuomba aje maskani saa sita za usiku. Mpange kabisa kuwa upo na mwanamke unataka kumpa shida kidogo.

Avae kikorofi ile ya kutamanisha utamu nje. Then wewe siku hiyo mtengenezee mazingira demu wako mlale mapema sana saa tatu au nne hivi.

Akifika unamfungulia, then unampokea na deep sloppy kiss moja ambalo halikatishwi hata na mlipuko wa bomu. Unafunga mlango wa chumbani ufunguo unatoa katika kitasa. Unapanda na yule demu kitandani mnaaza kupeana kazi nzito wazi wazi bila kuogopa.

Yaani yeye muwe kama hamumuoni. Unapiga mashine ile kiugwadu na huyo demu aonyeshe ushirikiano..... Demu wako akitaka kuleta fujo unamtuliza then unaendelea kutoa mgegedo..... Unamwambia hebu tulia wakati najiongeza na huyu anae nipenda..... Tulia mbwa wewe nakwambia....
Duuh
 
Upo sahihi kabisa.

Sema kuna scenario za mwanamke anataka kuonyesha yupo kwenye class fulani hivi hata matumizi/mahitaji yake ana-exaggerate kuwa huwezi kutoa.

Sasa time unamtimizia vyote anaongeza exaggeration unatambua kabisa hapa kweli hana huruma .[emoji23]

Kuna mmoja nimewahi kukutana nae huyo.
I am a woman. Mwanamke yeyote uliyeko nae kama hana huruma na wewe hasa pesa achana nae. Hakupendi. Sijui kwanini watu hawanaga huruma
 
Enzi hizo nimetoka zangu tunduru huko kuja dar kimasomo hapo nilikua mashamba mshamba iv.

Kuna nyumba tulikua tumepanga Sasa pale ndani Kuna mdogo wa mama mwenye nyumba. Yule dada kutokana na ushamba wangu alikua ananikejeli kwa kunambia Mimi hata nikivaa nguo mpya hazinipendezi Yan bado nakua kiboya boya,,,si unajua Tena yeye alikua analinga coz tulikua tumepanga kwao pia walikua wanajiweza financial


Kama unavyojua mungu hayupo bize totally sometimes huwa anachungulia duniani na kutoa shavu kwa watu Kama sisi

Nilivomaliza chuo nilikaa kidogo mtaani halafu nikatimkia zangu dubai kwenye mambo ya mafuta haya, nilivorud bongo sikukaa sana nikanyoosha ukrain, yule dada akazipata habar kwamba jamaa saiv sio Kama zaman. Kuna siku nimekaa zangu nashangaa namba ngen inapiga wasap kupokea iv kumbe ni yeye, tukapiga stori kadhaa na ikawa desturi yetu kupigiana na kuanza kutongozana

Yule dada sikutaka kumchapa Ila kutokana na ameshawahi kunidharau nikasema hapa ndo sehemu yake ya kuvuna alichokipanda. Nilivorud bongo kwa Mara nyingine nikamvuta hotel tukakaa Kama wk iv akiwa anatumikia adhabu na kwa bahat mbaya akashika mimba nami nikamkomoa hapo hapo nikampa vipande vyake ndo ukawa mwisho wa stor mm na yeye
 
To me its very difficult. I am not an angel. Nakosea and i always apologise. Kitu siwezagi ni kugombana na mtu nayempenda. I always wall away to keep my inner peace. Kugombana na mtu nampenda ni too big tesion for me. And too bad nakutana na hawa narcissists sana. Sijui kwanini. They always play victims
Halafu mkikutana na wastaarab mnawaita ma zoba...why? Ushazoea mpera mpera hahaaaa
 
Halafu mkikutana na wastaarab mnawaita ma zoba...why? Ushazoea mpera mpera hahaaaa
Wastaarabu tunaitwaga mazoba, just because we ain't dramatic and act sane all the time. Watoto wa kike like some crazy shit to be done on them at times! Mtu mstaarabu hawezi fanya mambo ya kuudhi while anajua yeye hapendi kufanyiwa but guess what? It works differently to these girls. Atalalamika yuko abused he wants a man with sanity akipata baada ya muda ataanza kusema the guy is boring anatamani apate chizi tena😂😂😂
 
Wastaarabu tunaitwaga mazoba, just because we ain't dramatic and act sane all the time. Watoto wa kike like some crazy shit to be done on them at times! Mtu mstaarabu hawezi fanya mambo ya kuudhi while anajua yeye hapendi kufanyiwa but guess what? It works differently to these girls. Atalalamika yuko abused he wants a man with sanity akipata baada ya muda ataanza kusema the guy is boring anatamani apate chizi tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa that's how they are... anaweza kukujaribu akisema nipige... nipige sasa kama we mwanaume kweli... yaani some are full of dramas kwa kweli...
 
😂😂😂 nilikuwa nikiwaambia kaka zangu na walinipiga kweli Yani .
Hao kakazako nahisi tunafanana itikadi 😂😂😂!!! Mwenyewe ningekutia makonzi... mtoto wa kike unaanzaje kuwa mbabe? Utasumbua mume bora unyooshwe ungali kinda.
 
Hao kakazako nahisi tunafanana itikadi 😂😂😂!!! Mwenyewe ningekutia makonzi...mtt wa kike unaanzaje kuwa mbabe? Utasumbua mume bora unyooshwe ungali kinda.
🤣🤣Yani utoto muda huyo kafupi ila maneno mengi nguvu za kipigana Sina Yani wakuwa wananipiga au warushiane Yaani wananibeba juu juu halafu wanarushina naliaaa weee

Sema walinifunza sana saivi nawapenda na kuwaheshimu sanaa
 
🤣🤣Yani utoto mda huyo kafupi ila maneno mengi nguvu za kipigana Sina Yani wakuwa wananipiga au warushiane Yan wananibeba juu juu halafu wanarushina naliaaa weee

Sema walinifunza Sana saivi nawapenda na kuwaheshimu sanaa
Yeah lazma uwapende cause they taught you something ambacho unanona msaada wake sahizi.😂😂😂 Thats how brothers should be!
 
Back
Top Bottom