Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Hivi koffi huwezi kulazimisha mtu..?
Apo alikua anataka nimlazimishe kuvua nguo maana alikua na mapozi ya staki_nataka wakati mi mjuba sibembelezagi papuchi Kama ukikubali tunakula maisha ukikataa nabonya next episode
 
Kabisa mkuu. Mtu unamfanyia mambo mengi, unamnunulia vingi mwisho siku moja anakuomba 20,000 unamwambia sina hiyo kwa leo, labda nikupe kwanza nusu yake. Anakuita bahili...
Huwa mnawezaje kumpa hela mwanamke?

Mimi mwenyewe hazinitoshi

Ndio maana huwa nadeal na wenye shughuli zao asinisumbue nisimsumbue
 
Hivi we mbona hujui kupangilia mavazi unakwama wapi huoni wanaume wenzio?? [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-S9 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe alikuwa mdangaji... Chukua mwanao ulee asije rithi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…