Sasa kwanini unataka kulazimisha kwamba wanaume wote watakuwa wanahitaji support kwako? Why are you always trying to justify your laziness kwa kusingizia kwamba mwanaume lazma awe anakutegemea wewe kinamna flani. 😂Ndiyo maana yake! Mimi ikiwa mwanaume anasimamia majukumu yake peke yake bila kutaka mimi nimsaidie na ananihudumia ipasavyo sasa mwanaume kama huyo kwanini nitake kutunishiana naye misuli?
Yeye siku zote ndiyo atakuwa juu na atakaloamua yeye ndilo litakuwa! Mie nitakuwa nampa ushauri tu kama akiuhitaji!
Thy peace always be upon you!Mimi naishi kwangu na hata nikienda kwetu Hali hyo hyo,sipendi kufanya vtu nisivo jiskia kabisa.
Unajua nimegundua kitu kimoja! Wewe unalazimisha mawazo yako mwenyewe ndiyo yawe ya kwangu hebu tuelewane kitu kimoja!Mwanamke ukimpenda hayo mambo hayaoni mzigo wala manyanyaso. Sasa mwanamke hutaki kupika, kufua, kuosha vyombo kulea watoto eti unalalamika ni manyanyaso. Kama kuna mwanamke alilalamikia hilo kama manyanyaso ilihali anaoneshwa upendo kama kawaida na mume atakuwa ni mental case. Sasa usipopikia mume na watoto nani afanye hio kazi [emoji23][emoji23][emoji23] Baba alete chakula ndani halafu aingie tena kuwapikia
Spoon feeding ...! Hajajua nje Kuna nin siku akitoka ndani akaona kilicho nje hawezi sema alichokisemaI believe still uko kwenu, and your homeplace is where you belong.[emoji13]
AmenThy peace always be upon you!
Naishi kwangu mbonaSpoon feeding ...! Hajajua nje Kuna nin siku akitoka ndani akaona kilicho nje hawezi sema alichokisema
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
You dont have to judge her. Hatujui amepitia nini na imemuathiri kiasi gani. Trust me. Naamini watu wakiandika hapa utakimbia. Muelewe tu na usiumie. Binafsi huoni wanawake wakiandika si kwamba hawaumizwi hapana. Basi tu. Huwa tuna vifua na tunahadithiana wenyewe na kurelease. Nyie hamna vifua. Musihukumu maana hamko kwenye viatu vyake.Huyu binti anashangaza sana ujue. Ni sawa na sie tugomee kwenda kazini au vibaruani tuanze kugombana na wanawake kwamba kwenda kazini ni unyanyasaji ilihali bills zote tutatakiwa tufanye clearance sisi. Hii inaingia akilini kweli?
Siyo majaribu mnakubaliana tu! Nani atafute pesa nani afanye kazi za ndani mbona kuna ndoa nyingine mwanamke ndiyo anatafuta pesa na mwanaume ndiyo anafanya kazi za ndani na maisha yanaenda fresh tu!Mwanamke anayefanya hayo makusudi kama unavyojinadi ndio wa kupelekwa mputa mputa maana analeta majaribu katika mamlaka iliomuweka ndani.
Pendo nimekuelewa Sana vip game ya simba na yanga tuchekie wapi ninunue kinywaji chochote ukipendachoYou dont have to judge her. Hatujui amepitia nini na imemuathiri kiasi gani. Trust me. Naamini watu wakiandika hapa utakimbia. Muelewe tu na usiumie. Binafsi huoni wanawake wakiandika si kwamba hawaumizwi hapana. Basi tu. Huwa tuna vifua na tunahadithiana wenyewe na kurelease. Nyie hamna vifua. Musihukumu maana hamko kwenye viatu vyake.
Hahaaa haku ctaki mgeni
Hawa wanadanganywa na wanawake wa humu mitandaoni wanaojifanya submissive kwa waume zao kumbe hawa lengo lao wanalijua wenyewe! Sie tunaowaambia ukweli wa mambo ndiyo tunaonekana tumepotoka they should know things are different out there!Wewe ni pacha angu kabisa
Kwa hyo nyie mko realHawa wanadanganywa na wanawake wa humu mitandaoni wanaojifanya submissive kwa waume zao kumbe hawa lengo lao wanalijua wenyewe! Sie tunaowaambia ukweli wa mambo ndiyo tunaonekana tumepotoka they should know things are different out there!
Wanaume humu wanaamini kumtesa mwanamke ndio uanaume huo, na Kuna wanawake wanashoboka humu ili waonekane wazuri na wife material kuwafurausha wanaume badala wajiamini jinsi walivo walikuja duniani kufanya yao, Sasa wao unafiki mwanzo mwisho. Mimi hata mchungaji wangu nishamchsna Sana kuhusu Mambo za uonevu onevu.Hawa wanadanganywa na wanawake wa humu mitandaoni wanaojifanya submissive kwa waume zao kumbe hawa lengo lao wanalijua wenyewe! Sie tunaowaambia ukweli wa mambo ndiyo tunaonekana tumepotoka they should know things are different out there!
Kwangu Hadi mgeni aje inachukua mda Sana, ni Kama approval ya kumuona Raisi
Things are different to you girls😝 wanawake wanaojitambua wapo and we still ballin with themHawa wanadanganywa na wanawake wa humu mitandaoni wanaojifanya submissive kwa waume zao kumbe hawa lengo lao wanalijua wenyewe! Sie tunaowaambia ukweli wa mambo ndiyo tunaonekana tumepotoka they should know things are different out there!
Jaman waacheni wanawake wanaojielewa msianze kurusha vijembe apa ...nyie mlisha shindikana hii haina kupingaWanaume humu wanaamini kumtesa mwanamke ndio uanaume huo, na Kuna wanawake wanashoboka humu ili waonekane wazuri na wife material kuwafurausha wanaume badala wajiamini jinsi walivo walikuja duniani kufanya yao, Sasa wao unafiki mwanzo mwisho. Mimi hata mchungaji wangu nishamchsna Sana kuhusu Mambo za uonevu onevu.
Wanawake wa humu mnaamini kuwekwa katika nafasi zenu ni kuteswa.Hii race haina ukomo wa Laps😂😂😂!Wanaume humu wanaamini kumtesa mwanamke ndio uanaume huo, na Kuna wanawake wanashoboka humu ili waonekane wazuri na wife material kuwafurausha wanaume badala wajiamini jinsi walivo walikuja duniani kufanya yao, Sasa wao unafiki mwanzo mwisho. Mimi hata mchungaji wangu nishamchsna Sana kuhusu Mambo za uonevu onevu.
Mwanamke akinidanganya anajidanganya mwenyewe sababu mie sina cha kupoteza as a man!Hawa wanadanganywa na wanawake wa humu mitandaoni wanaojifanya submissive kwa waume zao kumbe hawa lengo lao wanalijua wenyewe! Sie tunaowaambia ukweli wa mambo ndiyo tunaonekana tumepotoka they should know things are different out there!