Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Thank you bro. I appreciate this.

Mie pesa za mwanaume hazijawahi kunibabaisha hata siku moja! I'm always proud and happy when it comes to paying my own bills!
 
Wewe unaweza ukampa pesa mwanamke mjeuri na mbishi? Basi hata sisi hatuwezi kuwapa pesa wanaume malaya na wanyanyasaji!
 
We hujiulizi kwanini ndoa siku hizi hazidumu na zinazodumu ziko hai bin taaban?
Simple tu, wanaume wa siku hizi AKILI hakuna kabisa.
Huwa napenda sana kuutumia huu msemo na niliutoa kwako! Uliwahi kusema "ifike mahala wanaume wenye akili tu ndiyo waoe"!

Huo msemo una maana kubwa sana! Sababu siku hizi mtu akishakuwa na uume tu akaanza kuota ndevu na mavuzi anajiona na yeye ni mwanaume na anafaa kuoa mwanamke mwenye sifa nzuri hapo ndipo shida inapoanzia!
 
Niwe kahaba for who and for what? I love me so much and I am way better than kuwa kahaba!

Mnasema mwanamke ni mwanamke tu mbona wakitumia viungo vyao vya siri kwa kadri wanavyojisikia huwa mnaumia ninyi? Nilitegemea wataumia wao kwanza right?
Teh..... eti viungo vyenu
 
Nshaombwaga misamaha a million times before sijakung'uta mikono na kusonga mbele kama injili.

Tangu hapo nilitambua mwanamke ni mtu wa aina gani na jinsi ya ku deal nae. Harsh reality!
HalAfu Mimi nikizinguliwaga huwa sirudi nyuma kwa kweli yaani nachapa lapa fasta sana .

Maana unaweza jifanya unakomaa nao kumbe unakuja pata matatizo ya ajabu ajabu .

Kuwa watu wa nuksi hawastahili kuwa kwenye maisha yako wakikupa RED FLAG fasta sana Ni kuchapa lapa [emoji2][emoji1787][emoji3577]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mwanamke
 
Kwani mwanaume hawezi kumfanyia mwanamke Jambo baya.

Nani nakwambia kufanya Jambo bayo kunategemea jinsia?

Yule aliemchoma MKE wake kwa gunia za mkaa kigamboni hakuwa mwanaume ?

Yule aliemuua MKE wake kimara hakuwa mwanaume?


Tulia wewe. Njoo na facts za kueleweka.

Nyie ndio wale wanawake ndoa zimewashinda mnataka na wanawake wengine ndio ziwashinde.
 
Omba MUNGU mwanao asiwe kilaza[emoji2]


Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Hayo mnayoyafanya ninyi yamezoeleka! Mwanamke anaweza akafanya jambo dunia ikabaki inashangaa ila ya wanaume wala hayashangazi tena sababu tumeyazoea!
 
Hamna tusi baya kama linalohusisha manhood! Au mwanamke umtukanie hedhi 😂😂😂 atakuchukia hadi siku ya mwisho. Ndio tusi pekee linaweza kumfunga mdomo mtoto wa kike chap kwa ukali 😂😂😂
Hebu jaribu nione kama itauma
 
[emoji23][emoji23][emoji23] na wanaume wenye uume tu bila akili ndio wengi sikuhizi, na hata hyo zamani hawakuwepo ni vile walizoea kukandamiza wanawake, sasa sikuhizi Nani wakuvumilia ujinga wa mwanaume suruali aisee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…