Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Sasa niwe na msichana ili iweje kama sio uzinzi, hata nikiwa na wewe hilo swala ni la muhimu mno, vinginevyo bora nibaki mwenyewe
Naomba ukisikiliza hiyo clip uje tujadili.
Sikiliza halafu uniambie umeelewa nini
 
Mkuu huyo ana mapepo nimeshakutana na sampuli ya hivi unaweza omba ardhi ipasuke
 
Poleni Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi umegeuka comedy yaani nimecheka sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Yaaan nimechema balaa. Hivi katokea wapi huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kaja kuharibu sherehe tu[emoji119][emoji119]
Very funny. Kwani huwa kingereza ni big deal hv?

Nakumbuka nilitoka eng medium nikaenda kusoma government o level. Jaman ukiongea english kidogo unatengwa na unasimangwa balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] walikua wanatusema wa english medium wale wasambaaa poohhh....
 
utamponza wifi yako huku ntampa jambajamba sana
[emoji1787][emoji1787]
Trust me... kuna raha yake. As long as you play a gentle role. Mapenz yanakua matamu sana. Sasa si hata maandiko yanaandika juu ya utii kwa mwanaume? Humu hatuwezi fanana wote. Kila mmoja na namna alivyolelewa. Na pia kila mmoja na namna wanavyoendesha mahusiano yao kwa principal zao. Hatuwez fanana asilani. Ila haimaanishi mwanamke kama uko ktk abused relationship basi ung'ang'anie hapo hapana. Watu muheshimiane. Wote mukiwa munapandisha sauti aisee hamtokaa asilan mufike popote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…