HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Yes kuna watu unadate nao ila hauna plan nao, unakula na yeye anakulaWewe huwa unadate kupoteza muda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes kuna watu unadate nao ila hauna plan nao, unakula na yeye anakulaWewe huwa unadate kupoteza muda?
Kwa jinsi mnavyosifianaga ujinga humu.
Mlishahalisha uzinzi sijui kimasikhara..halafu eti uje kunielekeza tabia njema!
Utanielekeza Nini sasa?!?
Mimi ni mpole sana tena mno kwa mwanaume anayejiheshimu
Ila wengine wasiojielewa tutapambana nao tu mbele kwa mbele [emoji23]
Maana yake wewe umekuwa unadate na mtu kwa ajili ya ndoa?
Yes yaliyomo yamooLazima u shake well before use mkuu [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi najiheshimu ila nakunywa bia vp hapo
Anhaa kumbe!Yes kuna watu unadate nao ila hauna plan nao, unakula na yeye anakula
Wapi Mungu ameagiza hivyo?Lazima u shake well before use mkuu [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasudia Tena kusema..kwahiyo nitabaki nyumbani Mimi pekeyangu kuwa mlinzi wa nyumba yako muda huo wewe unapombeka?
Muone huko[emoji1787]Utachemshiwa chai bar [emoji23]... usiwaze
Ndio maana yake AnneAnhaa kumbe!
Sikujua.
Am addicted to drinking at home[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasudia Tena kusema..kwahiyo nitabaki nyumbani Mimi pekeyangu kuwa mlinzi wa nyumba yako muda huo wewe unapombeka?
Inategemea na tabia yako ya kila siku ndio itakudefine wewe na kuchoka kwako.. Lets say you you always play your part very well halafu siku moja tu kwa mahaba na kudeka unamwambia mumeo kua umechoka.. What do you think will happen!? Ndio siku kama hizo unachukuliwa unapelekwa hata outing... ila kama unapendwa.Mkuu Mimi nikichoka au sijiskii kufanya kitu sigusi hata aseme Nani kwa kweli
Wala. Mambo ya kawaida tuu.Safi sana. Ulimkera sana pengine ndo akasema hivyo.
Mkuu sasa sisi wasambaa hapo tumetokea wapi!? Mbona unatunyanyasa!?..Yaaan nimechema balaa. Hivi katokea wapi huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kaja kuharibu sherehe tu[emoji119][emoji119]
Very funny. Kwani huwa kingereza ni big deal hv?
Nakumbuka nilitoka eng medium nikaenda kusoma government o level. Jaman ukiongea english kidogo unatengwa na unasimangwa balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] walikua wanatusema wa english medium wale wasambaaa poohhh....
Afadhali weweam addicted to drinking at home
sasa sijui unanizungumziaje?
Hongera sanaNdio maana yake Anne
Dah? Ugomvi sina ishu nikianza kucheza muziki tu teh teh ile kuzungukazunguka na bolingo.Afadhali wewe
Ila tu usiwe mgomvi.
Kuna mijianaume inakunywa halafu ikilewa inapiga wake zao na watoto
Ku play part yangu hufanya Ila kuna siku tu nakuwa moodless kabisa staki kufanya Jambo flani so hapo kwa kweli natafuta another optioninategemea na tabia yako ya kila siku ndo itakudefine wewe na kuchoka kwako.. lets say you you always play your part very well halafu siku moja tu kwa mahaba na kudeka unamwambia mumeo kua umechoka.. what do you think will happen!? ndo siku kama hizo unachukuliwa unapelekwa hata outing... ila kama unapendwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah? ugomvi sina ishu nikianza kucheza muziki tu teh teh ile kuzungukazunguka na bolingo.