Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Siwachukii wanaume bali sipendi ngono na ni mahusiano gani hayo unayomaanisha? Halafu haujajibu swali langu boss jibu basi kwanza!
Hupendi ngono???πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ₯±πŸ₯±
 
Mwishowe watatugeuza marobot hawa
 
hahahahahahahahahaha jamani nimecheka sina hamu

huu uzi umejua kunichekesha hasaaa, watu wa Jf mna mambo na visa

JF raha sanaaaaaaaaaaaa
 
Hiyo ya pili nilishaambiwaga huwa inauma sema wanaume maumivu yetu huwa yanapoa haraka
 
Na ukiona mwanamke anakuonyesha ukosefu wa adabu kwa kuongea na wanaume wengine mbele yako bila tahadhari basi jua huyo ameshajiweka kuwa goma la wote na yupo hapo kwaajiri ya open fucking kwa yoyote atae muonyesha interest.
Na ukiona mwanamke anakuonyesha ukosefu wa adabu kwa kuongea na wanaume wengine mbele yako bila tahadhari basi jua huyo ameshajiweka kuwa goma la wote na yupo hapo kwaajiri ya open fucking kwa yoyote atae muonyesha interest.
Hii post yako ningeiona mapema yasingenikuta ya kunikuta
 
Haahahaha yah. Mambo ya uzungu mimi sitaki. Diplomasia wabaki nayo akina Obama. I am a typical African. Kila mtu abaki na utamaduni wake. Kama being submisive ni ushamba basi let me be
Ningekuwa Rais, kesho ungekuwa katika vyombo vya habari ukiongea na waandishi wa habari juu ya majukumu yako mapya katika ofisi ya waziri wa Ustawi wa jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuwa Rais, kesho ungekuwa katika vyombo vya habari ukiongea na waandishi wa habari juu ya majukumu yako mapya katika ofisi ya waziri wa Ustawi wa jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] asante ndugu mheshimiwa Rais wa jamhuri ya Jamii Forums. Kwa kuwa ni mwanaume ninepokea na nimetii neno lako..sitabisha wala kukataa asilani abadani
 
Kuna watu mna moyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…