MEGATRONE
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 1,140
- 2,141
Hupendi ngono???🤔🤔🤔🤔🥱🥱Siwachukii wanaume bali sipendi ngono na ni mahusiano gani hayo unayomaanisha? Halafu haujajibu swali langu boss jibu basi kwanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hupendi ngono???🤔🤔🤔🤔🥱🥱Siwachukii wanaume bali sipendi ngono na ni mahusiano gani hayo unayomaanisha? Halafu haujajibu swali langu boss jibu basi kwanza!
Wanaume bwanaSiyo limbwata! Wanaojua kuwa wanawake nao ni binadamu na wanapotafuta pesa wanachoka kama tu ambavyo wanaume wanachoka!
Mwishowe watatugeuza marobot hawaSasa upande upi unaonufaika na upi unaoumia hapo? Tena mimi naona ninyi wanaume ndiyo huwa mnataka mnufaike kwenye kila kitu kinachohusiana na mapenzi!
Maana 50/50 inataka mwanaume na mwanamke wote wawe sawa kuanzia kwenye haki hadi kwenye majukumu! Ila ninyi wanaume hamtaki kuwe na haki sawa ila kwenye majukumu mnataka tuwe sawa tena majukumu yenyewe ni ya kiuchumi tu ndiyo mnataka tuwe sawa ila kwenye majukumu mengine hatuko sawa siyo?
Nyumba ndogo: Baby usiongee na mkeo ukiwa na mimi, sipendi kusikia sauti yake ananiboa.
Na ukiona mwanamke anakuonyesha ukosefu wa adabu kwa kuongea na wanaume wengine mbele yako bila tahadhari basi jua huyo ameshajiweka kuwa goma la wote na yupo hapo kwaajiri ya open fucking kwa yoyote atae muonyesha interest.
Hii post yako ningeiona mapema yasingenikuta ya kunikutaNa ukiona mwanamke anakuonyesha ukosefu wa adabu kwa kuongea na wanaume wengine mbele yako bila tahadhari basi jua huyo ameshajiweka kuwa goma la wote na yupo hapo kwaajiri ya open fucking kwa yoyote atae muonyesha interest.
Huyu alikuvunjia heshima...shenzi Sana huyo."Yaani mb0.0 yako kabla sijakutana na wewe sikufikiria kuna mwanaume yuko hivyo. Ni ndogo sana"
Nilinywea feelings mpaka pvmbu.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23]Hii post yako ningeiona mapema yasingenikuta ya kunikuta
Ni kweli kabisa. Only matured women understand this.....I am a woman. Mwanamke yeyote uliyeko nae kama hana huruma na wewe hasa pesa achana nae. Hakupendi. Sijui kwanini watu hawanaga huruma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaaaah nimecheka had watu wananshangaaaa tyuuuh wallah.“kumbe we maneno mengi ela huna”
“Hauko romantic”
Angela mke wa Marcus [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha movie moja ya black Americans inaitwa "Why did I get married" kuna mdada anaongea huyo kama kameza kanda
Ningekuwa Rais, kesho ungekuwa katika vyombo vya habari ukiongea na waandishi wa habari juu ya majukumu yako mapya katika ofisi ya waziri wa Ustawi wa jamiiHaahahaha yah. Mambo ya uzungu mimi sitaki. Diplomasia wabaki nayo akina Obama. I am a typical African. Kila mtu abaki na utamaduni wake. Kama being submisive ni ushamba basi let me be
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] asante ndugu mheshimiwa Rais wa jamhuri ya Jamii Forums. Kwa kuwa ni mwanaume ninepokea na nimetii neno lako..sitabisha wala kukataa asilani abadaniNingekuwa Rais, kesho ungekuwa katika vyombo vya habari ukiongea na waandishi wa habari juu ya majukumu yako mapya katika ofisi ya waziri wa Ustawi wa jamii
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes mkuu, huruma ni kila kitu
One man Down 😵😂😂😂Ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23]
Yamekukuta yepi tena mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu mna moyooMi mwanamke flani nilimpenda kwa moyo mmoja pamoja na kumpa time yangu.Lakini hakuyaona nimezaa naye mtoto mmoja.Keshanicheat sana vya kutosha na wanaume tofauti pamoja na kukuta naked photo anawatumia wanaume wengine.Lakini basi kwa vile nilikuwa namuheshim sikumtukana wala kujibishana naye niliamuwa kumuacha kimya kimya,Basi kakaa akaamuwa kujirudi na kuomba msamaha usiku na mchana na kusema amebadilika anajutia yote,basi nikarudisha moyo nikamsamehe.Akanialika niende kwake nimtembelee pia mi mwenyew nilikuwa nimmis mwanangu kumuona nikasahau yote nikaenda ni mkoani.
Basi ile kufika mkoani kanikaribisha na maisha yakaendelea,tukiwa happy mwanangu akafurahi kuniona.Hata siku moja sikugusia wala kuongelea yale makosa aliyofanya,nikaona ni kurudisha mambo nyuma na kuzua migogoro upya sikugusia kabisa, ki ukweli mi sipendi tafrani kwa kuwa huko nyuma nshapata matafrani nusura yantoe roho ya maisha lakini.
Ile tunaendelea kuishi nkaona mwenzangu kama anabadilika akanza kununa bila sababu, ye kutwa mzima ni simu na tv tu.Mnakaa sebuleni unachoomuuliza ndo anachojibu hamna siku mkae hata muongelee mustakabali ya maisha yetu.
Basi siku moja mi nkaenda mjini make huko tulipo ni kijinini nilienda kununua mahitaji,ile kurudi mida ya saa moja jioni nakuta staff wenzie wapo sebuleni wanatazama mpira afu wa kiume.Sasa mi nikamuuliza mbona una ujasiri wa kuleta wanaume nyumbani kwako huoni hata haya kwa nini hata hukunifahamisha.
Alichonijibu ni kuwa sasa mi ningefanyeje watu wamekuja kutazama mpira ningewafukuza mi nkamjibu hichi so kibanda umiza basi kanununa.Hao jama wameoa na wana tv makwao.
Sasa mi nkajiuliza mfano jamaa mmoja niache ye kaenda mjini mi niende kwa mkewe nimwambie shem hebu washa tv nikae nijitanue kwe sofa mmewe akija atanifikira vipi.
Basi mi nkaondoka kuna kuna mtu alikuwa kaniagizishia vitu vyake nimpelekee.Ile narejea sijawakuta kumbe kawaambia mme wangu hataki kuwaona na hataki mje hapa mi wala sijuwi.Kesho yake kanuna balaa,ilivo fika usiku kaenda lala mi kuna movie nabaki naifatilia kufika saa 4nne usiku nkasema ngoja nkalale mtume!!! kanifungia mlango wa chumbani gonga! mlango wapi nikaamuwa nilale sebuleni.
Usiku mida ya saa kumi na moja kajiamsha anajifanya kushangaa eti ananiplz nikalale chumbani.Mi nkamjibu hapa pia ni pazuri we kalale tu.Akaenda kulala kumekucha yupo mkavu hata kuomba msamaha wala kujutia hamna yupo happy tu.Kuna kipindi Sexy ananijibu hajiskii,mara nimechoka hayupo romantic kabisa mda mwingine nkawa najihisi nimelala brother hata swala la usafi ni Zero .Nikaamuwa kuondoka now nasikia karudia kudanga tena.