Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Kuombwa hela kila kukicha na ukikataa kumpa hiyo siku utasikia mwanaume gani asiye na hela, kwanini usitafute kama wenzako?
 
Yes, wewe ndiyo mwanamme haswa si hawa vijana dizaini ya Diamond na Ali Kiba.
 
Hapo hakuna mtu, unafosi mapenzi kwa mbulula
 
Dah hilo la kunilinganisha na saidi mbwambo ndio ingekuwa mazishi ya penzi letu. 🤣🤣🤣 Kipigo chake angemsimulia hadi baba yake.
 
Baada ya kumla mara kadhaa geto kwake ambako nilililazomika kulipia pango alikuwa moja ya pisi zangu zinazopenda hela mno ila uchawi wake ilikuwa kumpeleka mziki na bia tu weekend. Sahizi ni single maza.

"Sitaki shida ndogo ndogo, mwanaume mwenyewe bahili kama nini"

"Sitaki mtu hapa kwangu, ukijiskia kutaka uchi ndio unaleta kimb.oo chako hapa"

"Tunatoka au? Kama hatutoki hamna mzigo hapa chapa yebo"

"Si uende kwa mkeo leo mi staki usumbufu kabisa."
 
Nilishawahi shusha uzi umu way back, kipindi hicho nipo apeche alolo ukinikung'uta natoa unga kama shuka la mashineni lkn wkt huo wife yupo kwenye pick.

Ktk kauli mbovu ambayo niliwahi kutamkiwa na wife ni " ningekuwa mwanaume ningekuoa mm" hii yote kwa sababu uchumi uliyumba.[emoji51]

Unajua nn now, mungu mkubwa ss nime bounce back nipo kampuni moja ya wazungu vidolali havichezi mbali mambo yapo super tena kushinda zamani[emoji123][emoji898][emoji483].

Wife alishafulia mambo yake yapo mrama lkn mm nimemsamehe na tupo pamoja heshima iliyopotea imerudi ss sijui kwa sababu nipo vizuri na yy kachapika lkn I don't care tupo tunatunza familia[emoji123][emoji123].
 
Sema nn kuna chutoara wa ki swidish tunapiga nae mishe katokea kunikubali sn kwakuwa kwa maelezo yake hajawahi kutana na dick heavy na motto[emoji91] Kama huu ninao mpelekea na kuna kila dalili ame consieve.

Aarggh vyovyote iwavyo tumeshauriana hakuna kutoa hiyo preg na yy karidhia, naenda kuwa na katoto ka halfcast[emoji1787][emoji123][emoji898][emoji483].
 
Jibu safi
 
Walioleta women empowerment ndio walio engineer uozo uliopo sasa kama ushoga na usagaji.

Mwanaume huwezi kuwa na power thabiti kama huna uchumi wa kumfanya mwanamke akutambue uwepo wako. Ndio maana sahizi bahari ni tulivu. Usipokuwa strong huwezi ishi na mke mwenye uchumi mzuri. Atakuburuza tu
 
Kwakweli bahari imetulia kwa ss na life Lina move on, imagine Sasa hivi maji napelekewa bafuni bila kuulizwa, mbususu napewa 24/7.

Yaani kiufupi amejirudi na amekuwa mpole balaa, sema nn ajiandae kulea ka halfcast kangu ambako kapo on the way[emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…