Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Hahahah mi mapema tu huwa nataka ujue kuwa utaishi na mimi kwa amani ukiwa unajua mipaka yako. Kwangu mwanamke anapika, kufua na kuosha vyombo na kulea na wala hamna room ya majadiliano kuhusu hayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwenzako huyo kila tukifikia hapo ubishi unaanza. Anataka tupangiane zamu za kudeki
Aahh mimi kama tunapeana pesa kwa usawa basi hata kazi za ndani tutafanya kwa usawa tu hilo halina ubishi! Hayo yote nitafanya mwenyewe ikiwa pesa yangu ni yangu while pesa yako ni yetu fullstop!

Chanzo cha haya yote ni pale wanaume mlipoanza kutaka wanawake tuwasaidie majukumu yenu kitu ambacho hakipo kwenye tamaduni zetu! Mbaya zaidi mnaipinga 50/50 ila eti majukumu yenu tufanye kwa usawa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heh... mimi nashukuru Mungu hatukuwa kusturve lakini tumelelewa maisha ya kiuafrica. Kila kazi tunafanya. Jumlisha na kusoma kwa masista tena boarding toka primary kila kazi unafanya aisee. Tena kwa mapenzi yote. Tatizo kuna utakaokua unawafanyia yote hayo na wasiappreciate hata kitu. Maybe amewahi kuwa na mtu akamtenda wakati she gave her all. Lakini pia waweza mfanyisha yote hayo ila ukaja ishia oa slay queen. Namwelewa to some extent. Tatizo linakuja nyie wanaume ndo mnajua mnaomuoa nani. Hapo tu
Umeona eehh! Hata sie kwetu tumelelewa kufanya kazi zote sie mzee wetu alitufundisha hakuna kazi ya kike wala ya kiume!

Ila tu huwa sipendi kuendekeza ujinga wa hawa wanaume eti pesa tupeane kwa usawa ila mie nikiingia jikoni yeye miguu juu na mbaya zaidi atataka nimfulie hadi boxer! Huo ujinga sijawahi na siwezi kuufanya ni kama ulivyosema mwanaume unaweza ukawa ukienda kwake unamfanyia hayo yote na bado akakuacha akaenda kumuoa mwanamke ambaye akienda kwake ni kama ameenda hotelini hafanyi chochote!
 
Obvious. Thats the best thing ever to offer to a man. Ila kuna ambao hawadeserve aisee. Maana tunapoongelea hili usisahau pia wanawake tuna uvumilivu sana lakini kuna wanaume jaman hapana. Kwanza dharau. Anakupa maneno ya karaha. U completely feel tortured. No vile tuu hatujaandika hapa
Ukijifanya fala wanakuona fala kweli! Kumbe wanajisahaulisha kuwa wewe siyo fala ila tu ni vile umeamua kukaa kwenye nafasi yako siku ukiamua kubadilika unaweza na asiamini!
 
Sielewei tu but mie nautazama kama uvivu tu...I'll never marry a lazy woman. Those are the quick signs of a irresponsible woman halafu hawawezagi kuhimili shida.
I wonder maybe mtu kama huyo alikuwa abused before.
Oohh basi hata wanaume wanaokwepa majukumu yao na kutaka wanawake wawasaidie kwa kisingizio cha kwamba maisha kusaidiana na huo ndiyo upendo hata sisi huo tunautazama kama uvivu! We can not get married to irresponsible men!
 
Kuna binam yangu aliolewa last year... ndoa ya matashtiti. Haijafika mwaka imekufa. Mboga saba lkn nje drammars. Nadhan pia alikua na kauli mbaya kwa mumewe maana funancially mwanaume kwao wa kawaida zaidi na sana sana. Nadhan atakua alikua anamtishia kwetu hatunaga shida kama kawaida na hashuo za hapa na pale maana ndo kauli zake. Basi ndo hivyo mwanaume kaenda chumbia mwanamke mwingine na ujauzito juu[emoji23]
Asee, huyo binamu yako, alijiskiaje???
 
Ukijifanya fala wanakuona fala kweli! Kumbe wanajisahaulisha kuwa wewe siyo fala ila tu ni vile umeamua kukaa kwenye nafasi yako siku ukiamua kubadilika unaweza na asiamini!
Yaani hawa watu sielewagi wanataka nn. Ukitulia ukamuheshim yet atakuletea mapicha. Na akijua unampenda utakoma.
Yaan ni vile hatukomagi kupenda ila wanatunyoosha. Wanaaminigi tukishakua kwao we can never walk away. Uvumilivu ukifikaga mwisho hata hatuongeagi. Hatugombani. We just leave. Tunapenda amani ya nafsi zetu. Inaumiza sana mtu akiwa hajali wala kujeshimu hosia zako
 
Hope currently kabadil attitude yake kwenye ndoa ..
Its worsier. Huwa qna dharau na nyodo na mashauzi sana. Sijui why she cant just be like us. Nachofurahigi anajuaga namuogopa sana. Ni kwasababu sijawahi react kwake. Na uoga wangu ni pale nitakapo mshikisha adabu siku. Maana ananijuaga kwenye mkono natembezaga. I act mjinga ila limit ikifikaga[emoji28][emoji28][emoji119]
Kauli zake mbaua jamani. Eeh
 
Umeona eehh! Hata sie kwetu tumelelewa kufanya kazi zote sie mzee wetu alitufundisha hakuna kazi ya kike wala ya kiume!

Ila tu huwa sipendi kuendekeza ujinga wa hawa wanaume eti pesa tupeane kwa usawa ila mie nikiingia jikoni yeye miguu juu na mbaya zaidi atataka nimfulie hadi boxer! Huo ujinga sijawahi na siwezi kuufanya ni kama ulivyosema mwanaume unaweza ukawa ukienda kwake unamfanyia hayo yote na bado akakuacha akaenda kumuoa mwanamke ambaye akienda kwake ni kama ameenda hotelini hafanyi chochote!
Exactly. I cant define them. Tumefanya yote hayo lakini it was never eneough for them. Nachoaminigi mwanaume anajuaga anampenda nani na anataka muoa nani. Huwa najiuliza kwani wengine wamelelewaje na wengine tukalelewaje? Mbona hakinaga huruma jamani? Yaan unajua kns humpendi mtu then why umfate? Why umchore? Kwani hawamwogopi Mungu. Kama moyo wangu haukuridhii hata kukufanya wa karibu yangu sitaki kwakua sitaki kukuumiza. Ila watui[emoji119]
 
Its worsier. Huwa qna dharau na nyodo na mashauzi sana. Sijui why she cant just be like us. Nachofurahigi anajuaga namuogopa sana. Ni kwasababu sijawahi react kwake. Na uoga wangu ni pale nitakapo mshikisha adabu siku. Maana ananijuaga kwenye mkono natembezaga. I act mjinga ila limit ikifikaga[emoji28][emoji28][emoji119]
Kauli zake mbaua jamani. Eeh
Hahahaha, kumbe na wew ni m babe mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Its worsier. Huwa qna dharau na nyodo na mashauzi sana. Sijui why she cant just be like us. Nachofurahigi anajuaga namuogopa sana. Ni kwasababu sijawahi react kwake. Na uoga wangu ni pale nitakapo mshikisha adabu siku. Maana ananijuaga kwenye mkono natembezaga. I act mjinga ila limit ikifikaga[emoji28][emoji28][emoji119]
Kauli zake mbaua jamani. Eeh
Duhh, huyo itakua ni malezi yashamuathiri...she can never change..Itabd apate mme zoba ambae atakubali kutawaliwa otherwise ataliwa tu na kua single mama.
 
Back
Top Bottom