Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Pendo nimekuelewa Sana vip game ya simba na yanga tuchekie wapi ninunue kinywaji chochote ukipendacho

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jinga wanijua nn? Mara ya 2 hii unakuja kwa style hizi. Nimeacha silu hizi haya mambo. Ila simba afungwe tuu hakuna tatizo. Siwapendi mimi
 
Dah, yani muda wote huo kwa daktari hatujaenda tu kuchunguza tatizo ni nini? [emoji23][emoji23][emoji23] Wonders shall never end! The moment naambiwa kuna elements za P2 kwenye damu yako ujue siku hio hio utapaki mabegi yako urudi kwenu.

Omba tu upate mume zoba au mbumbumbu dizaini ya MC Pilipili ile.
Hivi kumbe bado mnawategemea madaktari kuwapa majibu ya afya za wake zenu? Hao hao madaktari ambao wakipewa kidogo tu wanatoa majibu ya uongo?

Hivi wanaume wanaopima DNA wakaambiwa watoto ni wao unafikiri wote majibu yanakuwa ni ya kweli? Wewe utasema unamhonga daktari hela ili akupe majibu ya ukweli mwenzio anagawa papuchi ili atoe majibu ya uongo na hautakaa ujue ndiyo maana nikasema bado hamjazijua akili za wanawake wa sasa mfumo dume umewatia upofu sana!

Unajua mie nikiongeaga haya huwa naonekana kama kahaba fulani hivi ambaye nayafanya haya! Uzuri kuna wanaume wenzenu wako humu tunafahamiana nje ya JF na wanajua mie ni mtu wa aina gani na wanajua ninapoongea haya huwa namaanisha nini!

Mie ninachojaribu kuwaambia humu ni uhalisia ambao upo kwenye jamii za sasa achana na hao wanawake wanaojisemea wenyewe nafsi zao eti they can be submissive to their men no matter what! Jamani wanaume hii dunia ya sasa imebadilika na imeharibika hao wanawake mnaowataka na kuwaota humu kila kukicha hawapo tena na kama wapo basi ni wa kumulika kwa tochi ambao ni wachache kulingana na idadi ya wanaume mnaowahitaji!
 
Siyo majaribu mnakubaliana tu! Nani atafute pesa nani afanye kazi za ndani mbona kuna ndoa nyingine mwanamke ndiyo anatafuta pesa na mwanaume ndiyo anafanya kazi za ndani na maisha yanaenda fresh tu!

Na mwanamke anamheshimu mumewe kama kawaida hakuna nyodo wala nini! Mie ndoa ya hivyo siiwezi ila kama watu wamekubaliana wenyewe let them be mwisho wa siku kusiwe tu na dharau kwa mume ndani ya nyumba!
Hio ndoa haina tofauti na ndoa ya mkataba.
 
Hivi kumbe bado mnawategemea madaktari kuwapa majibu ya afya za wake zenu? Hao hao madaktari ambao wakipewa kidogo tu wanatoa majibu ya uongo?

Hivi wanaume wanaopima DNA wakaambiwa watoto ni wao unafikiri wote majibu yanakuwa ni ya kweli? Wewe utasema unamhonga daktari hela ili akupe majibu ya ukweli mwenzio anagawa papuchi ili atoe majibu ya uongo na hautakaa ujue ndiyo maana nikasema bado hamjazijua akili za wanawake wa sasa mfumo dume umewatia upofu sana!

Unajua mie nikiongeaga haya huwa naonekana kama kahaba fulani hivi ambaye nayafanya haya! Uzuri kuna wanaume wenzenu wako humu tunafahamiana nje ya JF na wanajua mie ni mtu wa aina gani na wanajua ninapoongea haya huwa namaanisha nini!

Mie ninachojaribu kuwaambia humu ni uhalisia ambao upo kwenye jamii za sasa achana na hao wanawake wanaojisemea wenyewe nafsi zao eti they can be submissive to their men no matter what! Jamani wanaume hii dunia ya sasa imebadilika na imeharibika hao wanawake mnaowataka na kuwaota humu kila kukicha hawapo tena na kama wapo basi ni wa kumulika kwa tochi ambao ni wachache kulingana na idadi ya wanaume mnaowahitaji!
Una mawazo finyu Reasoning yako ni poor

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Hahahah hamna mtu dikteta ukijitambua. Hili la kusema si madikteta si mmeliibua kama namna ya kujitetea.
Ndiyo nakuambia sasa kuna wanaume ni madikteta haswa! Ila kuna namna walinyooshwa na wake zao hadi sasa hivi wana adabu ila nani ana ujasiri wa kuliongelea hili?
 
Hawa wanadanganywa na wanawake wa humu mitandaoni wanaojifanya submissive kwa waume zao kumbe hawa lengo lao wanalijua wenyewe! Sie tunaowaambia ukweli wa mambo ndiyo tunaonekana tumepotoka they should know things are different out there!
My dear.. for whatever u have gone through naomba Mwenyezi Mungu akakupe amani ya moyo wako. We are raised differently. Tuko watu tusiopenda mashindano kivyovyote. Na pia tuna maisha nje ya mitandaoni. Tunajifunza. I have gone through some bad shit sana tu. I cried and cried. At the end i learnt my lesson. Huwa naamini watu wazuri wapo na wanaexist same ways kwa wabaya. It takes time to heal. There were times i thought i am dying ila nop. Those changamoto made me even better. With time u shall smile again.
 
Yani Mimi kwa akili Yangu nimpige mwanamke? Afu mbona hatukuelewi mwanamke kufanya majukum yake ni udikteta?

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Nikuulize wewe? Ni wapi nimesema mwanamke kufanya majukumu yake ni udikteta?

Ninyi ndiyo mnafanya ionekana as if ni udikteta maana mlivyokuwa mnaorodhesha mtakayowafanyia wake zenu ndiyo ikabidi nijiulize! Maana mwanamke kufanya majukumu yake ni kawaida ikiwa mwanaume ndiyo anasimamia kila kitu kiuchumi!
 
I believe you are better than this japo una ka ukorofi. Siamini we ni mwanamke wa kua argue about doing your house chores!
Hata wewe you are better than this! Siamini kama ni mwanaume unayeweza kuargue about doing your financial responsibilities na kuleta habari za mwanamke kukupiga tafu!
 
Sasa unamkomoa nani? Yaani wewe kumhudumia mkeo unaona kama umemfanyia hisani ndiyo maana unataka kumpelekesha kama punda tu si ndiyo?

Nasikitika hamzijui akili za wanawake nyie tunavyojifanya mafala mnadhani sisi ni mafala kweli! Mwanamke akiamua kulipa kisasi hata shetani anakaa pembeni kuchukua mafunzo!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huyu binti anashangaza sana ujue. Ni sawa na sie tugomee kwenda kazini au vibaruani tuanze kugombana na wanawake kwamba kwenda kazini ni unyanyasaji ilihali bills zote tutatakiwa tufanye clearance sisi. Hii inaingia akilini kweli?
Oohh sasa nimegundua wewe ndiyo unayependa tuendeleze haya mabishano! Maana kuna muda tunaelewana kabisa then akija mwanaume mwenzio akamwaga pumba kidogo tu anakutoa kwenye reli unaanza upya kubwabwaja mengine ambayo hata hayapo!
 
Sasa kwanini unataka kulazimisha kwamba wanaume wote watakuwa wanahitaji support kwako? Why are you always trying to justify your laziness kwa kusingizia kwamba mwanaume lazma awe anakutegemea wewe kinamna flani. [emoji23]
Ananitegemea mimi kivipi? Mimi sihitaji mwanaume anayetaka nimpe support mie nahitaji mwanaume atakayesimamia majukumu yake peke yake bila kutarajia nimpige tafu na mimi nitasimia majukumu yangu yote peke yangu sitataka anisaidie!
 
Ndiyo nakuambia sasa kuna wanaume ni madikteta haswa! Ila kuna namna walinyooshwa na wake zao hadi sasa hivi wana adabu ila nani ana ujasiri wa kuliongelea hili?
Hehehe ujinga tu sasa ukishindana na mwanaume ndio unajiona mwamba au.😂
 
Oohh sasa nimegundua wewe ndiyo unayependa tuendeleze haya mabishano! Maana kuna muda tunaelewana kabisa then akija mwanaume mwenzio akamwaga pumba kidogo tu anakutoa kwenye reli unaanza upya kubwabwaja mengine ambayo hata hayapo!
Huo ni mfano halisi wa ku backup argument ilioko mezani. Wala usiite pumba.
 
Ananitegemea mimi kivipi? Mimi sihitaji mwanaume anayetaka nimpe support mie nahitaji mwanaume atakayesimamia majukumu yake peke yake bila kutarajia nimpige tafu na mimi nitasimia majukumu yangu yote peke yangu sitataka anisaidie!
Sasa ndio nasemaje, usitake kuficha uvivu kwa kuleta hoja kwa ku assume kila mwanamume kwamba lazma akutegemee wewe in a way or another ili um bully!
 
Wanaume humu wanaamini kumtesa mwanamke ndio uanaume huo, na Kuna wanawake wanashoboka humu ili waonekane wazuri na wife material kuwafurausha wanaume badala wajiamini jinsi walivo walikuja duniani kufanya yao, Sasa wao unafiki mwanzo mwisho. Mimi hata mchungaji wangu nishamchsna Sana kuhusu Mambo za uonevu onevu.
Tuendelee kusimamia mitazamo yetu my dear! Waache waendelee kudanganyika na hizi "mumbo jumbo" za mitandaoni!
 
Tuendelee kusimamia mitazamo yetu my dear! Waache waendelee kudanganyika na hizi "mumbo jumbo" za mitandaoni!
Hilo ndilo la msingi, itikadi zetu tofauti kwahio tubakie kila mtu na analoamini 😝
 
Back
Top Bottom