Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Suala sio kuacha kazi ilhali nilipass interview. Fikiria tu tabia za mwanzo. Ikiwemo kula kama paka, mwili unaonekana hivo lakini tabia zake zikanikata stimHapo lazma kutokee mgongano wa mawazo especially for a woman with such curves [emoji23][emoji23][emoji23]!!! Nimualike mwanangu Behaviourist atalitolea ufafanuzi hili kama je, ilikuwa sawa au sio sahihi kuacha kitumbua kiende zake.