Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Ulevi na Umalaya ni kati ya hizo sifa mbaya ninazoziongelea hapa! Je ni wanaume wangapi hawana hizo sifa?
Duh, kwahio mtu akinywa pombe ni mlevi? Umalaya inategemea na mtu na mtu! Binafsi sina hizo tabia so siwezi zungumzia ambao wanazo ila what i believe nikikosa satisfaction za kimapenzi kwa mwanamke nimependaye ndio naweza chungulia fursa mtaa wa pili. Ila if she gives me her all sina haja ya kuhangaika. Im a faithfull patner.
 
Wanaolalamikiwa ni wanawake wapumbavu ambao hawajitambui. Wanahisi kazi ni privilege ya kudharau mume.
Tatizo mkifanya makosa hamtaki kuambiwa! Mkiambiwa mnatumia kisingizio cha mke kakudharau kwa sababu ana kazi!
 
Sasa mbona mnalalamika kuwa hao wenye elimu ni pasua vichwa? Waoeni basi hao!
Ushaambiwa wife material haijalishi yuko mjini au kijijini ana Elimu au hana atabaki kuwa on her best behaviours.
 
Duh, kwahio mtu akinywa pombe ni mlevi? Umalaya inategemea na mtu na mtu! Binafsi sina hizo tabia so siwezi zungumzia ambao wanazo ila what i believe nikikosa satisfaction za kimapenzi kwa mwanamke nimependaye ndio naweza chungulia fursa mtaa wa pili. Ila if she gives me her all sina haja ya kuhangaika. Im a faithfull patner.
Tofautisha kati ya mnywaji na mlevi! Kuna mtu anakunywa tu kidogo siyo hadi alewe ila kuna limtu linakunywa hadi linalala bar au linachelewa kurudi linaanza kumpiga mkewe!

Sasa kwenye umalaya usijisemee wewe tu na kama kweli mpo wanaume msio malaya basi ni wachache sana! Ninyi wenyewe si ndiyo mnasemaga hamna mwanaume anayetosheka na mwanamke mmoja hivyo hata mkipata wanawake wenye sifa zote nzuri bado tu mtachepuka sasa mnafikiri sisi wanawake tunaposikia kauli kama hizo tutafanyaje?
 
Tofautisha kati ya mnywaji na mlevi! Kuna mtu anakunywa tu kidogo siyo hadi alewe ila kuna limtu linakunywa hadi linalala bar au linachelewa kurudi linaanza kumpiga mkewe!

Sasa kwenye umalaya usijisemee wewe tu na kama kweli mpo wanaume msio malaya basi ni wachache sana! Ninyi wenyewe si ndiyo mnasemaga hamna mwanaume anayetosheka na mwanamke mmoja hivyo hata mkipata wanawake wenye sifa zote nzuri bado tu mtachepuka sasa mnafikiri sisi wanawake tunaposikia kauli kama hizo tutafanyaje?
Ila bia nakunywa ila sio za hadi kujikojolea na kulala bar au mtaroni.
Mie namoyo wa kuridhika.
 
Tofautisha kati ya mnywaji na mlevi! Kuna mtu anakunywa tu kidogo siyo hadi alewe ila kuna limtu linakunywa hadi linalala bar au linachelewa kurudi linaanza kumpiga mkewe!

Sasa kwenye umalaya usijisemee wewe tu na kama kweli mpo wanaume msio malaya basi ni wachache sana! Ninyi wenyewe si ndiyo mnasemaga hamna mwanaume anayetosheka na mwanamke mmoja hivyo hata mkipata wanawake wenye sifa zote nzuri bado tu mtachepuka sasa mnafikiri sisi wanawake tunaposikia kauli kama hizo tutafanyaje?
kama nakunyamwa halafu hulewi...sasa unakunywa ili iweje?
ladha?
Bia sio tamu si bora unywe soda tu au Mo passion
 
Hahahahah huyo demu kila nikimvutia picha inakuja af inakataa hivi. Yani mwanamke wa hovyo hovyo kweli kweli
Sura exactly
20201108_104313.jpg
 
Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage

Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.

Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:

"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"

"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"

"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"

"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"

"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
Kuna mmoja nilukua nae kila ukimuuliza ratiba yake anakwambia "leo siku nzima nilikua kwa rafiki yangu" halafu rafiki zake wenyewe wakiume nikisepa kimyakimya na huyu nilienae naona ananiletea izo pigo, hana muda mrefu napiga chini
 
Kuna mmoja nilukua nae kila ukimuuliza ratiba yake anakwambia "leo siku nzima nilikua kwa rafiki yangu" halafu rafiki zake wenyewe wakiume nikisepa kimyakimya na huyu nilienae naona ananiletea izo pigo, hana muda mrefu napiga chini
Una date vipi na mwanamke mwenye marafiki wa kiume tu 😂😂😂
 
Una date vipi na mwanamke mwenye marafiki wa kiume tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Aise ni shida kila nikifikilia kula tunda kimasihara ndio naongeza speed yani binafsi sipendi mtu ninaedate nae awe na marafiki wa kiume ata wakike wasioeleweka
 
Una date vipi na mwanamke mwenye marafiki wa kiume tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbaya zaid anakuambia "siweza kuacha kua naurafiki nao sababu nimesoma nao wengine tumekua marafiki tangu watoto watanionaje nikikataa kuwa karibu nao" alafu anataka umtangazie ndoa hapana kwakweli
 
Mbaya zaid anakuambia "siweza kuacha kua naurafiki nao sababu nimesoma nao wengine tumekua marafiki tangu watoto watanionaje nikikataa kuwa karibu nao" alafu anataka umtangazie ndoa hapana kwakweli
mwambie aolewe nao sasa.
 
Wastaarabu tunaitwaga mazoba, just because we ain't dramatic and act sane all the time. Watoto wa kike like some crazy shit to be done on them at times! Mtu mstaarabu hawezi fanya mambo ya kuudhi while anajua yeye hapendi kufanyiwa but guess what? It works differently to these girls. Atalalamika yuko abused he wants a man with sanity akipata baada ya muda ataanza kusema the guy is boring anatamani apate chizi tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Akili ya mwanamke ni contraversy

Zamani nilikuwa Ni a very good man very humble .

Nikajua gundua It won't work .

Nimeliwa very rude boy

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
una maelezo mazuri,tatizo lako unadhani ukiandika tu kiswahili utaonekana mshamba,kitu ambacho sio kweli,sikia haujui kiingereza kama huyo kaka yako muanzisha mada,andikeni tu kiswahili mtaeleweka,mnatutia aibu,hili forum inasomwa na watu wengi ulimwenguni..jf imekuwaje?
Duuh[emoji15][emoji15]
 
Back
Top Bottom