INTERGRITY
JF-Expert Member
- Jan 19, 2021
- 394
- 1,482
Hahaha, ni mwendo wa kuchakatana haswa ndugu yanguNimekusoma mahali nikawa nacheka tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, ni mwendo wa kuchakatana haswa ndugu yanguNimekusoma mahali nikawa nacheka tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe mnasoma na kuyaweka kwenye long term memory, nilichojifunza humu unaweza ukakuta hata watu wa parokiani lazima wapite kwenye uzi huu rikiboy nakulaani kwa nguvu zote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Eti kama hawana maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Karma
Hahahahahah natamani kujua sahizi kazalishwa watoto wangapi na mabaharia"Ulijua mi nataka mapenzi kwako ,Mi mwnamke napenda pesa sizani kama utaniweza wewe pisha wenzio wenye hela Tafuta hela ukizipata utanitafuta".[emoji6][emoji6] Muda huo angali nimemkula sio chini ya mara 70 Tangu kanasoma mpaka amehitimu kidato cha Nne baada kuingia mtaani kufanya kazi saloni ya dada ake akaanza kubadlika.
Huyo huenda ni kichaa cha mimba manMimi napitia situation km yako
Nilichofanya ni kumdanganya nimepata dharula mkoa hivyo ameenda kwao halafu nikafunga nyumba
Now nishamwambia simtaki japo ana mimba , ndio najipanga nikirudi nimkabili vipi.....ni mkorifi balaa
HapanaHuyo huenda ni kichaa cha mimba man
Dhaaa!! Wee mwanaume jiongeze mwenyewe baada ya kuuliza ananipenda kweli.. Boom nikatafakari siku kadhaa nikajua am out of thz picture ni mda wakuje taifa sasa.Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage
Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.
Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:
"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"
"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"
"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"
"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"
"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
Hahahah jiongeze manaake hupendwi brazaDhaaa!! Wee mwanaume jiongeze mwenyewe baada ya kuuliza ananipenda kweli.. Boom nikatafakari siku kadhaa nikajua am out of thz picture ni mda wakuje taifa sasa.
MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hahahahaha! Nimekuja kutambua too late alot of damages has been done tayari.But most important karma will hunt ha wicked soul [emoji23] [emoji23]Hahahah jiongeze manaake hupendwi braza
Hahaha 😂😂Kuna mmoja miaka kadhaa iliyopita aliniambia "I don't want to disappoint my parents ". Ile kauli mpaka leo nikiikumbuka napata hasira
HiiiiiiiShe is a lone mother of one now....eti ohhh J i still think of youuu...nikacheka km Magu....
Mwanaume zoba anakuweje? Kama sio mjanja litakuja zoba kweli ndege wanaofanana huruka pamoja...Hata mie dume zoba silitaki.
😂😂 Hiyo ya mwisho ni uhalisiaHuwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage
Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.
Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:
"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"
"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"
"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"
"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"
"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
Pole sana mkuuMi mwanamke flani nilimpenda kwa moyo mmoja pamoja na kumpa time yangu.Lakini hakuyaona nimezaa naye mtoto mmoja.Keshanicheat sana vya kutosha na wanaume tofauti pamoja na kukuta naked photo anawatumia wanaume wengine.Lakini basi kwa vile nilikuwa namuheshim sikumtukana wala kujibishana naye niliamuwa kumuacha kimya kimya,Basi kakaa akaamuwa kujirudi na kuomba msamaha usiku na mchana na kusema amebadilika anajutia yote,basi nikarudisha moyo nikamsamehe.Akanialika niende kwake nimtembelee pia mi mwenyew nilikuwa nimmis mwanangu kumuona nikasahau yote nikaenda ni mkoani.
Basi ile kufika mkoani kanikaribisha na maisha yakaendelea,tukiwa happy mwanangu akafurahi kuniona.Hata siku moja sikugusia wala kuongelea yale makosa aliyofanya,nikaona ni kurudisha mambo nyuma na kuzua migogoro upya sikugusia kabisa, ki ukweli mi sipendi tafrani kwa kuwa huko nyuma nshapata matafrani nusura yantoe roho ya maisha lakini.
Ile tunaendelea kuishi nkaona mwenzangu kama anabadilika akanza kununa bila sababu, ye kutwa mzima ni simu na tv tu.Mnakaa sebuleni unachoomuuliza ndo anachojibu hamna siku mkae hata muongelee mustakabali ya maisha yetu.
Basi siku moja mi nkaenda mjini make huko tulipo ni kijinini nilienda kununua mahitaji,ile kurudi mida ya saa moja jioni nakuta staff wenzie wapo sebuleni wanatazama mpira afu wa kiume.Sasa mi nikamuuliza mbona una ujasiri wa kuleta wanaume nyumbani kwako huoni hata haya kwa nini hata hukunifahamisha.
Alichonijibu ni kuwa sasa mi ningefanyeje watu wamekuja kutazama mpira ningewafukuza mi nkamjibu hichi so kibanda umiza basi kanununa.Hao jama wameoa na wana tv makwao.
Sasa mi nkajiuliza mfano jamaa mmoja niache ye kaenda mjini mi niende kwa mkewe nimwambie shem hebu washa tv nikae nijitanue kwe sofa mmewe akija atanifikira vipi.
Basi mi nkaondoka kuna kuna mtu alikuwa kaniagizishia vitu vyake nimpelekee.Ile narejea sijawakuta kumbe kawaambia mme wangu hataki kuwaona na hataki mje hapa mi wala sijuwi.Kesho yake kanuna balaa,ilivo fika usiku kaenda lala mi kuna movie nabaki naifatilia kufika saa 4nne usiku nkasema ngoja nkalale mtume!!! kanifungia mlango wa chumbani gonga! mlango wapi nikaamuwa nilale sebuleni.
Usiku mida ya saa kumi na moja kajiamsha anajifanya kushangaa eti ananiplz nikalale chumbani.Mi nkamjibu hapa pia ni pazuri we kalale tu.Akaenda kulala kumekucha yupo mkavu hata kuomba msamaha wala kujutia hamna yupo happy tu.Kuna kipindi Sexy ananijibu hajiskii,mara nimechoka hayupo romantic kabisa mda mwingine nkawa najihisi nimelala brother hata swala la usafi ni Zero .Nikaamuwa kuondoka now nasikia karudia kudanga tena.