Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
nyie pipi zenu zilikuwa viazi vitamu ๐Kizazi cha .com[emoji16][emoji16]
Enzi zetu tunakua sisi hakukua na pipi holela...ukitaka kupata pipi ununue shati
Katoto kadhure bado upo kwa mama ๐Yeah ๐๐ค
Ahahahah๐๐๐Katoto kadhure bado upo kwa mama ๐
Haswaa...na miwa[emoji16]nyie pipi zenu zilikuwa viazi vitamu [emoji28]
Aahaaaahao ndio mama zetu mkononi kashikilia ndala ๐ ๐
ukikosea ukakimbia anakuitia pipi, njoo uchukue mwanangu taaamu, jichanganye uende utajuta kuzaliwa kwa kipigo atakachokushushia.
muwa wenyewe ni silaha pia ukikosea usithubutu kuusogeleaHaswaa...na miwa[emoji16]
Ndo maana una kichwa kirefu,aahaaaaaniliwahi pita dirishani nikaingia jikoni kulamba sukari ile natoa tu kichwa nitoke bi mkubwa huyu hapa kumbe aliniona nikiingia akaandaa silaha za maangamizi, nilipigwa na fagio la kichwa nikaangukia jikoni kwenye sufuria kubwa ๐.. Namshukuru sana mama kwa kipigo kile maana huenda lisingetokea lile ningekuwa mwizi.
๐ ๐ acha kabisa baada ya hapo wito ukabadilika kutoka wa wizi mpaka wa upadreNdo maana una kichwa kirefu,aahaaaaa
Kwanini "tata"? Sijawahi kuuona utata hata mmoja kwenye kauli za wazee wangu, zote zilililenga kunijenga kimaisha.1. Mama: Naongea na wewe unajifanya kukaa kimya siyo?
Mtoto: Lakini mama......
Mama: Nyamaza, yaani mimi naongea na wewe unajifanya kuongea?
2. Haya nenda kacheze halafu uchelewe kurudi. (Kakwambia uchelewe sasa ole wako uchelewe)
3. Baada ya kumuogesha mtoto eti anamwambia halafu ukajichafue tena!
Tupia na nyingine!
Umpate mme bora pia kama Mtoto halali na helaYeah ๐๐ค
Hadi ukazeeka naweKwanini "tata"? Sijawahi kuuona utata hata mmoja kwenye kauli za wazee wangu, zote zilililenga kunijenga kimaisha.
Amen...napokea ๐๐ผ๐๐ผ,๐คฃ๐คฃ๐Umpate mme bora pia kama Mtoto halali na hela
Msalimie mkwe wanguAmen...napokea ๐๐ผ๐๐ผ,๐คฃ๐คฃ๐
Zimefika usijaliMsalimie mkwe wangu