Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kombolera ilikua balaa,siku hiyo na tumpe tumeenda kukanyagana choo cha public.Nikiwa mtoto bhana, Nilikuwa napenda sana michezo, moja ya mchezo ni Kuendesha lingi, Kuwinda ndege kwa manati.
Kuna ile Unatengeneza gari la mbao na mipira inakuwa kama spring na unaweka kamba mbele na mti inakata hadi kona, na kukata malapa (Kanda Mbili) kama matairi
Kingine bhana Niliwahi kwenda kuoga kwenye bwawa kubwa mnoo ambalo kingo zake ni za mfinyanzi, hivyo mvua ikinyesha au zikilowa huwezi kutoka, na bwawa lilikuwa kubwa mnoo
Wewe unakumbuka mchezo gani?
View attachment 2918070
Nasubiri hapo uliposema ''Na mengineyo'' humo nahisi ndio patamu zaidi,endelea kufunguka pls.Mchezo wa kujificha(kombolela)
Baba na mama
Kula umbakishie baba
Kujipikilisha(pishi la kwanza kulipika ni pilau kwenye kikopo cha kibatari)
Kucheza mpira wa miguu
Mdako
Na mengineyo
Baba na mama. Mi baba we mama. Unakumbuka siku 1 tulichapwa kwani mama yako alitufuma tukifanya ya bibi na babu.Kuchimba udongo na kutengeneza watoto.
Kwenda dukani kuiba vitu (mchele) na kujipikilisha kwenye vikopo.
Kuna siku niliiba dagaa nikakimbia toilet daaaah nilifatwa hadi toi yani 🤔