Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Watoto wengine waliokuwa wanaishi Bara nyakati zile, walikuwa wanafikiri kuwa wale akina Dr Love Pimbi,Mzee Sani,Mzee Kifimbo Cheza,Sokomoko,Lodilofa,Ndumila kuwili, wote ni watu wa ukweli,na wanaishi Dar!!Ni kweli Mkuu, Philip Ndunguru ndio mchoraji wa katuni orijino za kina Kipepe, Ndumilakuwili, Lodi Lofa, Mwinyi Mpeku na hata kumchora Mzee Sani mwenyewe
Dah, amakweli tasnia ya uandishi wa vibonzo na ucheshi imetoka mbali sana, ni kweli kabisa usemayo Chief, watu wengine walidhani hawa jamaa wana exist in real lifeWatoto wengine waliokuwa wanaishi Bara nyakati zile, walikuwa wanafikiri kuwa wale akina Dr Love Pimbi,Mzee Sani,Mzee Kifimbo Cheza,Sokomoko,Lodilofa,Ndumila kuwili, wote ni watu wa ukweli,na wanaishi Dar!!
Hawa watoto mapacha walikua watundu sana hawa........Wapo wakina Lodilofa,Pimbi,Njemba nchumali,Kiokote,Watoto mapacha,Komred kipepe mzee wa nyika,Mapung'o,Chepe,
Umenikumbusha kitambo sana mkuu.
Kweli mkuu. Nakumbuka 90 kombe la dunia nchini italia. Tulikuwa tukiangalia pale chuo cha ushirika, tv yao ilikuwa ni zile zisizo na rangi.(black n white) ccp pia tulikuwa tunaangalia. Wao walikuwa na coloured tv.
Sahihi kabisaSi unajua watu wafupi hawazeeki haraka
Nyakati zinabadilika na mambo yake hakika.laizoni ilikuwa inabamba kinoma na nywele kubwa sikuhizi watu wanapenda kupiga vipara
Watoto wa siku hizi hawaelewi hizo mambo kabisaNyimbo maarufu enzi hizo ni colombiaa Colombia vitambaa vya chirmen viatu utankoma sanane wimbo wa bonite kiwanda Cha sooodaaa
Si mchezo mkuuHili gazeti liliua kabisa soko la magazeti kama Lawalawa,Film Tanzania
Mie nimependa sketi ya huyo afande tuuTraffic akitazama leseni ya dereva wa kizungu....hii ni miaka ya themanini. View attachment 1254623
IKOJE KWANI
Nilikuwepo, japo nilikuwa dogo lakini nilijua kusoma na kuandika. Hili toleo lilikuwa linatoka mara 1 kwa mwezi mara mbili kama sikosei.
Nilikuwa moshi ambapo ndio kwetu. Nakumbuka kipindi hiko mabasi ya town trip kcmc, kiboriloni yalikuwa ni SHIMAWIMO. Yaani (SHIrika la MAendeleo WIlaya ya MOshi)
Kumbi za cinema zilikuwa mbili. ABC na Plaza Cinema. Nilikuwa sikosi kwenda pale plaza kila jumapili saa nne kuangalia sinema. Hata kama sijapewa hela na mshua lazima niende ongalao niambulie fungulia mbwa.
Masteling wa wakati huo, Amitha Batchan, Mithuny Chakraborty, Rish Kopoor,Rajesh Kumar, Denzolpa, kwa upande wa kina mama walikuwepo kina Jaya, Hemma Malini, nk.
Movie nazozikumbika, Nasseb,Amne Samne, nk. Kotambo sana.
Kumbi za disco zilikuwa ni Vijana club, Libert hotel iliyokuwa karibu na green view ambayo ilikuja kuungua baadae.
Mafuta ya kupaka wakati huo ni YOU na YOLANDA yaliyokuwa kwenye mkebe. Mengine ni rays, Ashanti. Wajanja walikuwa wanavaa jenzi na rabber mtoni kama Ascot. Suruali za kitambaa zilikuwa Cacha rell, Mr Dio nk.
Wahusika wa kuu kwenye kazeti la Sani. Kipepe, Lodi lofa, Sokomoka, Pimbi, Madenge,na Yule mpiga roba nani sijui nimemsahau.
Mc Sukununu.
Hadithi zilizowahi kutamba wakati huo kwenye gazeti la sani na mtunzi akiwa marehemu Hammie Rajab ni pamoja na Pumbazo La moyo, Usiku waGiza ya Joyce na Dalanda na kibibi Gula.
Dah muda umeenda aisee, ila kama juzi tu.
Mzee mbona hamuwazungumzii wa gazeti la Bongo, kuna akina Bob Mikwara, Chepe, Mshikaji, na Kiokote, hawa hawakuwa maarufu?Miaka hiyo niliamini Madenge ni mtu kweli anaishi Dar es salaam.
Sio kwamba wanaoenda ni vile nywele zinaisha zenyewelaizoni ilikuwa inabamba kinoma na nywele kubwa sikuhizi watu wanapenda kupiga vipara
Hao nao pia walikuwa moto sana na waliishi katika tabia zao kama watu kweli, baadae sana ndipo akazuka m'babe mmoja katika gazeti la Kiu anaeitwa Baba ubaya.Mzee mbona hamuwazungumzii wa gazeti la Bongo, kuna akina Bob Mikwara, Chepe, Mshikaji, na Kiokote, hawa hawakuwa maarufu?
Mambo yanakwenda na kurudi mkuuMiaka hiyo nilikua bado sijafika duniani,
lakini naona mavazi ya kwenye hiyo michoro ndio inavaliwa sasa hivi au fashoon imerudi?
Bila kusahau Madenge [emoji2][emoji2]Ukiitwa PIMBI, NDUMILAKUWILI, LODILOFA ni tusi kubwa