Unakumbuka nini katika enzi za gazeti la Sani?

hivi haki miliki ya sani inahodhiwa na kampuni ipi kwa sasa ? halfu kwanini watu hwanunui haki miliki wakatutengenezea hata series ya animination ya wahusika toka ktk haya majarida
industry ya animation bado sana hapa kwetu japan wako mbali kuna kipindi nilikutana na jamaa flani kutoka urusi kwenye pombe akaniambia ana idea ya kufanya animation ishu za elimu hapa Tanzania nimsaidie connection nikachukua contact zake bahati mbaya nilipoteza alafu enzi hizo hata hawa ubongo kids hawajaanza
 
Nashukuru tumebaki na rollymsouth kule twitter
 
mwaka 1986 kuelekea 1987 niklikuwa napiga hesabu za kubakisha mwaka mmoja nimalize shule du jamani enzi hizooo
Wengine wazazi wetu hawawazi kama watatuleta duniani ama vipi,[emoji848][emoji848]
 
Itakuwa sahihi maana mi nilianza form one 1986. Hao walimu wote niliwakuta na Mwl. Kashushura kwasasa ni jirani yangu ninapoishi alinifundisha geography. Mkono alinifundisha Additional Maths kwasasa ni marehemu.
Eti Msukumakizazi

We mdingi bana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji1]
 
Hahaha 1987 nilikuwa naingia daras la saba pale Mnazi mmoja primary school, usafifi ulikuwa UDA kwa sana, na kulikuwa na daladala zenye kujulikana kwa majina kama vile , simbaluwala, dau la mmyonge
 
Hahaha 1987 nilikuwa naingia daras la saba pale Mnazi mmoja primary school, usafifi ulikuwa UDA kwa sana, na kulikuwa na daladala zenye kujulikana kwa majina kama vile , simbaluwala, dau la mmyonge
Hatari sana
 
Waliosimama
1. Komred kipepe (captain)
2.Kaisi
3. Kibinde
4. Huhi huhi
5. Mjomba Kobelo
6. Mzee Meko

Waliochuchumaa
7. Kashe
8.Mjomba ugimbi
9. Madenge (Gk)
10. Kizibao
11. Zoba

Kwa taarifa tu
Madenge yupo hai ila ameshakua mtu mzima sana.
Waliosimama wote wameshaaga Dunia.
Ukiachana na Madenge wengine afya zao mahututi sana.
 
Huyo namba 6 ndiye huyu huyu wa leo?
 
Mimi nililisoma miaka ya 2000s na bado nililifurahia sana
 

Striker Mapung’o wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…