Kabisa yani ufananishe exposure ya mtoto anaesoma Muhimbili Primary School ambayo ni ya Kiswahili vs Itabagumba English Medium iliyopo Sengerema anakotoka mtoa madaKwa kweli, kama jambo hulijuwi usikurupuke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yani ufananishe exposure ya mtoto anaesoma Muhimbili Primary School ambayo ni ya Kiswahili vs Itabagumba English Medium iliyopo Sengerema anakotoka mtoa madaKwa kweli, kama jambo hulijuwi usikurupuke
Hatariiiiii,Kabisa yani ufananishe exposure ya mtoto anaesoma Muhimbili Primary School ambayo ni ya Kiswahili vs Itabagumba English Medium iliyopo Sengerema anakotoka mtoa mada
Ange jaribu hata kusema baadhi ya st Kayumba 😛
Kabisa yani ufananishe exposure ya mtoto anaesoma Muhimbili Primary School ambayo ni ya Kiswahili vs Itabagumba English Medium iliyopo Sengerema anakotoka mtoa mada
LIKUD umefikiwa tayariKama unaweza wapeleke english medium na international schools ,maana huku mtaani tunaona utofauti .wachache wanatoka shule za kawaida alafu wanakuwa very smart kweny lugha,kujiamini, exposure wengi unakuta wanashindwa kujiamini kwenye baadhi ya masuala.
Kabisa yani ufananishe exposure ya mtoto anaesoma Muhimbili Primary School ambayo ni ya Kiswahili vs Itabagumba English Medium iliyopo Sengerema anakotoka mtoa mada
Badamu batamwagika hapa soon 🤣Hamna lolote ni umasikini tu nakwambia
Pameanza kuchangamkaKwa hizi Kayumba, hizi hizi?View attachment 3210167
Au mnatuambia Kayumba zipi?View attachment 3210169
Acheni utani wakuu!
View attachment 3210166
🤣🤣🤣
View attachment 3209994
Ndugu yangu ukata ni stage ya kila mtu, unapokuwa katika stage hii unakuwa stressed kutokana na limitations za bajeti yako so kinachofatia ni kujifariji kwa maamuzi unayofanya yaliyo ndani ya a "limited budget" , umejitahidi lakini pia haimaniishi ndio maamuzi bora kuliko ulioacha au kushindwa kufanya.
SIKU NJEMA
Hamna lolote ni umasikini tu nakwambia
Kabisa mkuuUmepiga kwenye mshono ,mimi kauli yangu kama pesa zipo somesha EM/IS kama hauna peleka KAYUMBA acha ushauri.
HahahahWengi naowajua mimi waliowaondoa watoto wao EM kwenda KAYUMBA walipigwa na WIMBI LA UKATA.
HahahahKwa hizi Kayumba, hizi hizi?View attachment 3210167
Au mnatuambia Kayumba zipi?View attachment 3210169
Acheni utani wakuu!
View attachment 3210166
Wanazingua tu ,UKATA umepiga hodi.Hahahah
Alafu wanakuja na nyuzi humu za vituko vituko🤮🤮🤮
Mimi nimewaambia ukata huwa unagusa kila mtu wengine inakuwa pakubwa sana ila sasa wao wanajifanya na umasikini jeuriWanazingua tu ,UKATA umepiga hodi.
Sure ,kupanda na kushuka kupo siyo wakishuka ndiyo wanaanza ushauri kibao.Mimi nimewaambia ukata huwa unagusa kila mtu wengine inakuwa pakubwa sana ila sasa wao wanajifanya na umasikini jeuri
Ukweli ndo huoWengi naowajua mimi waliowaondoa watoto wao EM kwenda KAYUMBA walipigwa na WIMBI LA UKATA.
Umeelewa wewe kumbeMkuu, watu wanaoletaga uzi huo huwa wanawalenga watu kama huyo. Huwa wanaweka angalizo KAMA KIPATO CHAKO KIDOGO USIPELEKE MTOTO EM. Inaoneka wewe ndio huwa huwaelewi, wanatahadharisha wenye kipato kidogo sio wenye hela kama kina vunja bei
Msipoteshe mawazo chanya. Kama una hela peleka hata marekani ila kama kapuku usiige utapasuka msba.