Unakuta mwamba anaandika with confidence kabisa: "Wanaosomesha Watoto EMs na ISs wanapoteza pesa tu"

Kabisa yani ufananishe exposure ya mtoto anaesoma Muhimbili Primary School ambayo ni ya Kiswahili vs Itabagumba English Medium iliyopo Sengerema anakotoka mtoa mada
Hatariiiiii,
 

Kabisa yani ufananishe exposure ya mtoto anaesoma Muhimbili Primary School ambayo ni ya Kiswahili vs Itabagumba English Medium iliyopo Sengerema anakotoka mtoa mada
Ange jaribu hata kusema baadhi ya st Kayumba 😛
 
LIKUD umefikiwa tayari
 
Kwa hizi Kayumba, hizi hizi?
Au mnatuambia Kayumba zipi?
Acheni utani wakuu!
 
tatizo letu sisi ni kuvitia ubaya vitu tusivyoweza kuvimudu kuwa navyo.
 
Kabisa yani ufananishe exposure ya mtoto anaesoma Muhimbili Primary School ambayo ni ya Kiswahili vs Itabagumba English Medium iliyopo Sengerema anakotoka mtoa mada

Exposure inapatikana kutokana na mazingira yanayomzunguka mtoto. Haitokani na lugha ya shuleni
 

Umepiga kwenye mshono ,mimi kauli yangu kama pesa zipo somesha EM/IS kama hauna peleka KAYUMBA acha ushauri.
 
Umeelewa wewe kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…