Unakutana na Changamoto gani unapofanya kazi na Dada/Mama zetu!

Unakutana na Changamoto gani unapofanya kazi na Dada/Mama zetu!

Wewe kama umeamua kuajiri wanawake kwenye kazi basi inabidi ujipange na backup staff wakutosha.
Saa yoyote anaweza kukwambia najisikia vibaya, ninaumwa, nina matatizo fulani nk.

Lakini ukipata mwanamke chuma (iron lady) unaweza kuenjoy sana kazi zako. Na hao ni wachache sana.

Kwa uzoefu wangu mdogo, wanawake wengi huwa wanafiti kwenye hizi kazi, na wanazipenda sana.
-Reception.
-Office secretary.
-Accounting.
-Office maid/Attendance.
-Legal officer.
Point kabisa mkuu.. Nakubali.
 
Tatizo kubwa sana la wanawake maeneo ya kazi ni kule kulazimisha mazingira yao ya kazi kuwa ndio mazingira yao ya maisha ya kijamii. Yaani hawawezi kutofautisha kazi na maisha yao mengine binafsi. Yaani ofisi ikijaa wanawake hapo ni umbeya tu, ushosti, visa, mikasa na kila upuuzi.

Yaani mwanamke anatamani kujua umekula nini, ulichokivaa umenunua wapi, mke au mumeo ni nani, watoto wako wakoje, umepanga nini mwaka huu, unaishi wapi, unaishije nk.
Ahahahahaha
 
Ukiajiri single maza mwenye watoto wakubwa kiasi wa kiume wasio wakorofi, wako shule. Alafu ana akili na ametulia hautokaa ujutie nakwambia.
Unaweka mtaji unakaa kitako kila kitu kinaenda automatic, no excuse sijui mume kafanya hivi sijui shemeji kakutembelea.
 
Ila kuna wanawake wavivu aise, alafu kwa makusudi kabisa hataki kujishuhulisha ndio ivyo kashaamua kuwa tegemezi.

Mwanamke anaweza kukuvuna nguvu hadi ukasema poo na bado atakuona boya wake.
 
Wewe kama umeamua kuajiri wanawake kwenye kazi basi inabidi ujipange na backup staff wakutosha.
Saa yoyote anaweza kukwambia najisikia vibaya, ninaumwa, nina matatizo fulani nk.

Lakini ukipata mwanamke chuma (iron lady) unaweza kuenjoy sana kazi zako. Na hao ni wachache sana.

Kwa uzoefu wangu mdogo, wanawake wengi huwa wanafiti kwenye hizi kazi, na wanazipenda sana.
-Reception.
-Office secretary.
-Accounting.
-Office maid/Attendance.
-Legal officer.

Hapo kwenye legal officer labda awe wakwenda kuhold brief mahakamani, research hao viumbe wengi wazinguaji sana

Kweli kuna wanawake wanapiga kazi ila ni wachache sana ila ukikutana naye kweli utafurahi
 
Tatizo kubwa sana la wanawake maeneo ya kazi ni kule kulazimisha mazingira yao ya kazi kuwa ndio mazingira yao ya maisha ya kijamii. Yaani hawawezi kutofautisha kazi na maisha yao mengine binafsi. Yaani ofisi ikijaa wanawake hapo ni umbeya tu, ushosti, visa, mikasa na kila upuuzi.

Yaani mwanamke anatamani kujua umekula nini, ulichokivaa umenunua wapi, mke au mumeo ni nani, watoto wako wakoje, umepanga nini mwaka huu, unaishi wapi, unaishije nk.
Kabisa mkuu, wanawake wengi hawajui kutofautisha personal life ya mtu na maisha mengine ya mtu ya kazi.
 
Back
Top Bottom