Point kabisa mkuu.. Nakubali.Wewe kama umeamua kuajiri wanawake kwenye kazi basi inabidi ujipange na backup staff wakutosha.
Saa yoyote anaweza kukwambia najisikia vibaya, ninaumwa, nina matatizo fulani nk.
Lakini ukipata mwanamke chuma (iron lady) unaweza kuenjoy sana kazi zako. Na hao ni wachache sana.
Kwa uzoefu wangu mdogo, wanawake wengi huwa wanafiti kwenye hizi kazi, na wanazipenda sana.
-Reception.
-Office secretary.
-Accounting.
-Office maid/Attendance.
-Legal officer.
AhahahahahaTatizo kubwa sana la wanawake maeneo ya kazi ni kule kulazimisha mazingira yao ya kazi kuwa ndio mazingira yao ya maisha ya kijamii. Yaani hawawezi kutofautisha kazi na maisha yao mengine binafsi. Yaani ofisi ikijaa wanawake hapo ni umbeya tu, ushosti, visa, mikasa na kila upuuzi.
Yaani mwanamke anatamani kujua umekula nini, ulichokivaa umenunua wapi, mke au mumeo ni nani, watoto wako wakoje, umepanga nini mwaka huu, unaishi wapi, unaishije nk.
Fafanua mkuuBig 4 auditing firm zinajua sana kuwatumia wanawake.. mwanamke hapewi nafasi kizembe
Wewe kama umeamua kuajiri wanawake kwenye kazi basi inabidi ujipange na backup staff wakutosha.
Saa yoyote anaweza kukwambia najisikia vibaya, ninaumwa, nina matatizo fulani nk.
Lakini ukipata mwanamke chuma (iron lady) unaweza kuenjoy sana kazi zako. Na hao ni wachache sana.
Kwa uzoefu wangu mdogo, wanawake wengi huwa wanafiti kwenye hizi kazi, na wanazipenda sana.
-Reception.
-Office secretary.
-Accounting.
-Office maid/Attendance.
-Legal officer.
Kabisa mkuu, wanawake wengi hawajui kutofautisha personal life ya mtu na maisha mengine ya mtu ya kazi.Tatizo kubwa sana la wanawake maeneo ya kazi ni kule kulazimisha mazingira yao ya kazi kuwa ndio mazingira yao ya maisha ya kijamii. Yaani hawawezi kutofautisha kazi na maisha yao mengine binafsi. Yaani ofisi ikijaa wanawake hapo ni umbeya tu, ushosti, visa, mikasa na kila upuuzi.
Yaani mwanamke anatamani kujua umekula nini, ulichokivaa umenunua wapi, mke au mumeo ni nani, watoto wako wakoje, umepanga nini mwaka huu, unaishi wapi, unaishije nk.