Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi huwa siamini mtu anajipost kwa siku picha kumi yeye tu kiukweli sijajua Kama ndio matumizi ya status tena kwa kidume ni kukoswa kazi
wenzako huwa wana pata mademu huko chance za kuwawinda. mimi huwa na post kama kuna manzi namtaka au kumuwinda week hiyo.. napost kumtamanisha hasa weekendBinafsi huwa siamini mtu anajipost kwa siku picha kumi yeye tu kiukweli sijajua Kama ndio matumizi ya status tena kwa kidume ni kukoswa kazi
Dah Kama wewe Ni ke Basi una roho ngumu kumshinda shetani...Siku hizi maisha yamerahisishwa, una mute, block au kufuta kabisa namba😂😂ila tu nina roho mbaya kinoma,
Nje ya mada mi hata tukigonga zaidi ya mwaka bila kuwasiliana nakufuta kwenye phonebook yangu
niko poa tu asa mtu km hufaidiki na namba yake wa kazi gani! Bora uwe na namba za watu 10 wenye maana kuliko kujaza wapuuzi 200Dah Kama wewe Ni ke Basi una roho ngumu kumshinda shetani...
Nje ya mada...Ni ufala kujipost kidume kizima
Mimi mara ya mwisho kupost Whatsapp status ilikuwa mwaka Jana mwanzoni baada ya kununua gari na kiwanja so nikapost kuwajulishaBinafsi huwa siamini mtu anajipost kwa siku picha kumi yeye tu kiukweli sijajua kama ndio matumizi ya status tena kwa kidume ni kukoswa kazi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mimi mara ya mwisho kupost Whatsapp status ilikuwa mwaka Jana mwanzoni baada ya kununua gari na kiwanja so nikapost kuwajulisha