Unamchukuliaje mtu anayejipost post whatsApp status?

Unamchukuliaje mtu anayejipost post whatsApp status?

Binafsi...Mimi siyo Watsap status tu...Maana naweza nisi'view...

Kuna wale watu wasio na kiasi na hii kitu Inaitwa mitandao ya kijamii....Unakuta mtu 24/7...Yupo Mtandaoni....

Huwa najiuliza...Kazi anafanya saa ngapi...Okey...Mwingine atakuambia mitandaoni ndiko anafanyia kazi zake...Najiuliza tena... Ni saa ngapi anapata muda wa kupangilia/kuwaza mambo yake?
Anakuwa anawaza hukohuko mtandaoni..hahaha!

Mimi huwa naamini mtandaoni watu wanatoa sana stress zao. Kwa maisha ya sasa tusingekuwa na hizi social, hatutembeleani tena, mistress ingekuwa mikubwa mikubwa tu!
 
Binafsi huwa siamini mtu anajipost kwa siku picha kumi yeye tu kiukweli sijajua kama ndio matumizi ya status tena kwa kidume ni kukoswa kazi

huo ni wivu wa kijinga.
simu ni yake, kanunua kwa pesa yake, pia humlipii bundle la internet.

ana haki ya kujipost kwenye status yake hata mara 70 kwa siku, maadam tu picha anazopost hazikiuki maadili ya ktz. iweje wewe ukereke kwa yeye kufanya hivyo?.

kama unakeleka sana kuona status zake, mpige block, au upunguze kiherehere cha kuview status yake.

niliwahi kuandika uzi kuhusu jambo hili. uzi wenyewe huu hapa, upitie ujifunze:
Block watu aina hii katika Mitandao ya Kijamii na Instant Messaging App
 
Kuja wengine wana vile viapp vya kuwanotify mtu fulani akiwa online, yaani ukiwashadata tu unakutana na status 'just now' venye nawapuuzaga mixer kuwa mute mpaka tukikutana physically wananunaga kabisa.

Ndio simu yako na bando lako ila tabia nyingine waachieni dada zenu. Na wengi wanaomuandama mtoa mada ndo tabia zao, janaume zima eti lina akaunti Tiktok
What the F*ck
 
Wabongo tunapenda sana kuangalia maisha ya watu kuliko maisha yetu binafsi, sasa mtu simu yake, picha yake, bando lake na pengine maamuzi ni yake mimi nimchukulieje ili iweje au nifaidike na nini?

Ishi maisha yako mkuu, weka mute au futa namba yake usiwapangie watu ilihali huna msaada au hawakutegemei kwa namna yoyote ile
 
Anakuwa anawaza hukohuko mtandaoni..hahaha!

Mimi huwa naamini mtandaoni watu wanatoa sana stress zao. Kwa maisha ya sasa tusingekuwa na hizi social, hatutembeleani tena, mistress ingekuwa mikubwa mikubwa tu!
Basi sawa Eroni..[emoji2368]
 
Binafsi...Mimi siyo Watsap status tu...Maana naweza nisi'view...

Kuna wale watu wasio na kiasi na hii kitu Inaitwa mitandao ya kijamii....Unakuta mtu 24/7...Yupo Mtandaoni....

Huwa najiuliza...Kazi anafanya saa ngapi...Okey...Mwingine atakuambia mitandaoni ndiko anafanyia kazi zake...Najiuliza tena... Ni saa ngapi anapata muda wa kupangilia/kuwaza mambo yake?
Auntie we huview wala hupost nakuteia vyediiiii
 
Back
Top Bottom