ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mtoa maada umebeep wacha tukupigie...na me naunga mkono wajumbe wewe ndo mwenye kiherehere Cha ku view status zao inshort unawashwa na picha zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa mwenyewe unajikuta ndio akili kupita woteMimi mara ya mwisho kupost Whatsapp status ilikuwa mwaka Jana mwanzoni baada ya kununua gari na kiwanja so nikapost kuwajulisha
Unapost uko kwenye viti vireeefu unakula bia na Kitimoto[emoji16]wenzako huwa wana pata mademu huko chance za kuwawinda. mimi huwa na post kama kuna manzi namtaka au kumuwinda week hiyo.. napost kumtamanisha hasa weekend
Huwa wanakuomba hela ya bundle.Binafsi...Mimi siyo Watsap status tu...Maana naweza nisi'view...
Kuna wale watu wasio na kiasi na hii kitu Inaitwa mitandao ya kijamii....Unakuta mtu 24/7...Yupo Mtandaoni....
Huwa najiuliza...Kazi anafanya saa ngapi...Okey...Mwingine atakuambia mitandaoni ndiko anafanyia kazi zake...Najiuliza tena... Ni saa ngapi anapata muda wa kupangilia/kuwaza mambo yake?
Huko offline watu wananunaUnapost uko kwenye viti vireeefu unakula bia na Kitimoto[emoji16]
Unamtamanishaje mkuu?wenzako huwa wana pata mademu huko chance za kuwawinda. mimi huwa na post kama kuna manzi namtaka au kumuwinda week hiyo.. napost kumtamanisha hasa weekend
Acha chai zao, masaa24 halali au? Na wewe umejuaje kama 24/7 yuko online?[emoji851][emoji851]Binafsi...Mimi siyo Watsap status tu...Maana naweza nisi'view...
Kuna wale watu wasio na kiasi na hii kitu Inaitwa mitandao ya kijamii....Unakuta mtu 24/7...Yupo Mtandaoni....
Huwa najiuliza...Kazi anafanya saa ngapi...Okey...Mwingine atakuambia mitandaoni ndiko anafanyia kazi zake...Najiuliza tena... Ni saa ngapi anapata muda wa kupangilia/kuwaza mambo yake?
Na wewe hauna kazi basi sasa gari ndo upostiMimi mara ya mwisho kupost Whatsapp status ilikuwa mwaka Jana mwanzoni baada ya kununua gari na kiwanja so nikapost kuwajulisha
Hujui kwamba asilimia kubwa ya watu Ni Jobless?Binafsi...Mimi siyo Watsap status tu...Maana naweza nisi'view...
Kuna wale watu wasio na kiasi na hii kitu Inaitwa mitandao ya kijamii....Unakuta mtu 24/7...Yupo Mtandaoni....
Huwa najiuliza...Kazi anafanya saa ngapi...Okey...Mwingine atakuambia mitandaoni ndiko anafanyia kazi zake...Najiuliza tena... Ni saa ngapi anapata muda wa kupangilia/kuwaza mambo yake?
Acha wivu bwege weweBinafsi huwa siamini mtu anajipost kwa siku picha kumi yeye tu kiukweli sijajua kama ndio matumizi ya status tena kwa kidume ni kukoswa kazi
Hawa tunawaita busybodiesAcha chai zao, masaa24 halali au? Na wewe umejuaje kama 24/7 yuko online?[emoji851][emoji851]
hii inakuwaje ni issue kwako? yy akijipost wewe unafaidika na nn? ama unakosa nini? km jibu ni haufaidiki wala kukosa chochote basi jitafakari, achana na maisha ya watu.Binafsi huwa siamini mtu anajipost kwa siku picha kumi yeye tu kiukweli sijajua kama ndio matumizi ya status tena kwa kidume ni kukoswa kazi