๐ ๐Wangu alikuwa anafanana kama hiyo picha ya kwanza,kila akitongozwa na watu ananiambia,ila alivyo kuwa akitongozwa na ex wake hakuniambia,baada ya mda akarudiana nae.
So wanaweza jaribu wana wengi ila kuna mmoja atatoboa tu.
Hatari sana...
Sana love!Hatari sana...