Unamfahamu yeyote aliyewahi kushinda michezo ya bahati nasibu?

Unamfahamu yeyote aliyewahi kushinda michezo ya bahati nasibu?

Black Book

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
228
Reaction score
207
Wakuu...

Karibu kila siku nasikia kila week kuna watu wanashinda million 10 mpaka 50 lakini binafsi sijawahi kuona ndugu, jamaa, rafiki au mtu yoyote wa karibu ninayemjua kashinda hata laki moja.

Binafsi sijui hawa wanaoshinda hii michezo ni watu wa wapi mliowahi kushinda au kushuhudia mtu wako wa karibu kapewa haya mamilion tafadhali share na sisi wengine hatujawahi kuamini kabisa haya mambo yanatangazwa kila sekunde na kila redio.
 
Wakuu...

Karibu kila siku nasikia kila week kuna watu wanashinda million 10 mpaka 50 lakini binafsi sijawahi kuona ndugu, jamaa, rafiki au mtu yoyote wa karibu ninayemjua kashinda hata laki moja.

Binafsi sijui hawa wanaoshinda hii michezo ni watu wa wapi mliowahi kushinda au kushuhudia mtu wako wa karibu kapewa haya mamilion tafadhali share na sisi wengine hatujawahi kuamini kabisa haya mambo yanatangazwa kila sekunde na kila redio.
Mimi na jamaa zangu tunaamini kilimo ndio uti wa mgongo.
 
Ninachoamini Kwamb Hakuna Mwana Jf Au Mtu Nje Ya Jf Aliewah Kushinda Kuanzia M5 Ila Ni Zuga Tu Me Mpaka Nafika Umri Huu Cjawah Ona Au Sikia Mtu Kapata Zaidi Ya Los Tu LABDA KU BET
 
Habari zenu wapendwa, huwa nasikiaga tuu kuhusu biko, tatu mzuka..... Je? Kuna mtu yeyote humu ambaye ameshawahi kushinda hii michezo??
Naomba kujua kama kuna ukweli wowote maana naona ni kama utapeli tu na maigizo

Naombeni michango yenu wadau
 
Habari zenu wapendwa, huwa nasikiaga tuu kuhusu biko, tatu mzuka..... Je? Kuna mtu yeyote humu ambaye ameshawahi kushinda hii michezo??
Naomba kujua kama kuna ukweli wowote maana naona ni kama utapeli tu na maigizo

Naombeni michango yenu wadau
Nilishinda laki
 
Wakuu...

Karibu kila siku nasikia kila week kuna watu wanashinda million 10 mpaka 50 lakini binafsi sijawahi kuona ndugu, jamaa, rafiki au mtu yoyote wa karibu ninayemjua kashinda hata laki moja.

Binafsi sijui hawa wanaoshinda hii michezo ni watu wa wapi mliowahi kushinda au kushuhudia mtu wako wa karibu kapewa haya mamilion tafadhali share na sisi wengine hatujawahi kuamini kabisa haya mambo yanatangazwa kila sekunde na kila redio.
Yupo mkuu, ameshinda million 40 ya tatu mzuka, ni jiran yetu saiv anashusha jumba afu amejenga mpk kene mipaka ya watu, watoto wake full kugombana kisa hela bi mkubwa wao
 
Habari zenu wapendwa, huwa nasikiaga tuu kuhusu biko, tatu mzuka..... Je? Kuna mtu yeyote humu ambaye ameshawahi kushinda hii michezo??
Naomba kujua kama kuna ukweli wowote maana naona ni kama utapeli tu na maigizo

Naombeni michango yenu wadau
Nshashindaga tatu mzuka
Screenshot_20180723-080020.jpg
 
Ninachoamini Kwamb Hakuna Mwana Jf Au Mtu Nje Ya Jf Aliewah Kushinda Kuanzia M5 Ila Ni Zuga Tu Me Mpaka Nafika Umri Huu Cjawah Ona Au Sikia Mtu Kapata Zaidi Ya Los Tu LABDA KU BET
Mimi nilipiga above 20+m
 
Back
Top Bottom