Unamfunga Mbowe kisha unakatiwa misaada na mikopo na zaidi kutakiwa kuimarisha utawala bora na demokrasia

Unamfunga Mbowe kisha unakatiwa misaada na mikopo na zaidi kutakiwa kuimarisha utawala bora na demokrasia

Mbowe hawawezi mfunga Mbowe ni biashara kwa mawakili,mahakimu na wengine KILA akiletwa mahakamani watu hao uingiza siku kupitia posho,nk jaji anafuta laki 5 moja kwa kila kesi so akiipiga danadana ghorofa anamalizia.
Hii nchi inatafunwa sana
 
Hizo ni hisia zako na mtazamo wako ila ukweli uko pale pale muda na historia ni mwalimu mzuzri.
 
Mungu ana makusudi kwa kila jambo, na mojawapo ya kusudi la Mungu katika hii kesi ya Mbowe, ni watawala kubanwa kimataifa ikiwamo kupunguziwa au kunyimwa kabisa mikopo na misaada iwapo Mbowe atafungwa.

Hawataishia hapo, wataongeza mbinyo kutaka aachiliwe na zaidi watataka mabadiliko ya katika mifumo yetu ya.kutoa haki sambamba na kutaka demokrasia iheshimiwe na hata kushinikiza Tume huru moja kwa moja, au kupitia shinikizo la demokrasia na utawala bora..

Kwa kifupi, wanaoitwa Mabeberu watakuwa wamepata mwanya au upenyo wa kuingiza agenda zao na ambazo obviously zitawagharimu watawala na chama chao kwa ujumla.

Hivyo, kuna gharama ya kulipa kitaifa na kimataifa, iwapo Mbowe atafungwa, gharama ambayo itakuwa ni gharama ya kisiasa, kiuchumi na kijamii na chama tawala ndio kita-suffer zaidi.

Madaraka bila maarifa ni maafa.

Mtakuja kuniambia.
Tuko tayari kulipa gharama hizo lakini gaidi afungwe. Miaka yote wewe vibaraka wenzako mnaimba hizo ngonjera lakini misaada inaendelea kumiminika nchini.
 
Mungu ana makusudi kwa kila jambo, na mojawapo ya kusudi la Mungu katika hii kesi ya Mbowe, ni watawala kubanwa kimataifa ikiwamo kupunguziwa au kunyimwa kabisa mikopo na misaada iwapo Mbowe atafungwa.

Hawataishia hapo, wataongeza mbinyo kutaka aachiliwe na zaidi watataka mabadiliko ya katika mifumo yetu ya.kutoa haki sambamba na kutaka demokrasia iheshimiwe na hata kushinikiza Tume huru moja kwa moja, au kupitia shinikizo la demokrasia na utawala bora..

Kwa kifupi, wanaoitwa Mabeberu watakuwa wamepata mwanya au upenyo wa kuingiza agenda zao na ambazo obviously zitawagharimu watawala na chama chao kwa ujumla.

Hivyo, kuna gharama ya kulipa kitaifa na kimataifa, iwapo Mbowe atafungwa, gharama ambayo itakuwa ni gharama ya kisiasa, kiuchumi na kijamii na chama tawala ndio kita-suffer zaidi.

Madaraka bila maarifa ni maafa.

Mtakuja kuniambia.
Hiyo kwa kinyakyusa tunaita 'they are going to dance to their tune'
 
Mungu ana makusudi kwa kila jambo, na mojawapo ya kusudi la Mungu katika hii kesi ya Mbowe, ni watawala kubanwa kimataifa ikiwamo kupunguziwa au kunyimwa kabisa mikopo na misaada iwapo Mbowe atafungwa.

Hawataishia hapo, wataongeza mbinyo kutaka aachiliwe na zaidi watataka mabadiliko ya katika mifumo yetu ya.kutoa haki sambamba na kutaka demokrasia iheshimiwe na hata kushinikiza Tume huru moja kwa moja, au kupitia shinikizo la demokrasia na utawala bora..

Kwa kifupi, wanaoitwa Mabeberu watakuwa wamepata mwanya au upenyo wa kuingiza agenda zao na ambazo obviously zitawagharimu watawala na chama chao kwa ujumla.

Hivyo, kuna gharama ya kulipa kitaifa na kimataifa, iwapo Mbowe atafungwa, gharama ambayo itakuwa ni gharama ya kisiasa, kiuchumi na kijamii na chama tawala ndio kita-suffer zaidi.

Madaraka bila maarifa ni maafa.

Mtakuja kuniambia.
Acha kutisha watu mangi mbowe ni hadi aogopwe kufungwa
 
Muelekeo wa hiyo kesi ni sawa na hukumu imeshatoka, majaji wenu wanatii maelekezo yenu vizuri sana, sioni haja ya kuisubiri hukumu tena, labda tusubiri muda wa kifungo tu.
Hata kwa sabaya waitii pia
 
Chama cha wachaga
Mungu ana makusudi kwa kila jambo, na mojawapo ya kusudi la Mungu katika hii kesi ya Mbowe, ni watawala kubanwa kimataifa ikiwamo kupunguziwa au kunyimwa kabisa mikopo na misaada iwapo Mbowe atafungwa.

Hawataishia hapo, wataongeza mbinyo kutaka aachiliwe na zaidi watataka mabadiliko ya katika mifumo yetu ya.kutoa haki sambamba na kutaka demokrasia iheshimiwe na hata kushinikiza Tume huru moja kwa moja, au kupitia shinikizo la demokrasia na utawala bora..

Kwa kifupi, wanaoitwa Mabeberu watakuwa wamepata mwanya au upenyo wa kuingiza agenda zao na ambazo obviously zitawagharimu watawala na chama chao kwa ujumla.

Hivyo, kuna gharama ya kulipa kitaifa na kimataifa, iwapo Mbowe atafungwa, gharama ambayo itakuwa ni gharama ya kisiasa, kiuchumi na kijamii na chama tawala ndio kita-suffer zaidi.

Madaraka bila maarifa ni maafa.

Mtakuja kuniambia.
 
Huyo Mbowe ndiyo anaweza kutatumi mroho wa madaraka ameyang'ang'ania watu wakitaka uenye kiti wanafukuzwa chama serikali ndiyo ataiweza
Watu ambao kwa miaka 60 ya uhuru wameshindwa kutatua matatizo ya maji na umeme, kwanini wasikimbilie kufungulia wapinzani wao kesi fake za kisiasa kama walivyofanya Makaburu?

Bora hata Makaburu walileta maendeleo huko Afrika kusini kuliko CCM hii iliyoleta umasikini kwa watu wake
 
Mungu ana makusudi kwa kila jambo, na mojawapo ya kusudi la Mungu katika hii kesi ya Mbowe, ni watawala kubanwa kimataifa ikiwamo kupunguziwa au kunyimwa kabisa mikopo na misaada iwapo Mbowe atafungwa.

Hawataishia hapo, wataongeza mbinyo kutaka aachiliwe na zaidi watataka mabadiliko ya katika mifumo yetu ya.kutoa haki sambamba na kutaka demokrasia iheshimiwe na hata kushinikiza Tume huru moja kwa moja, au kupitia shinikizo la demokrasia na utawala bora..

Kwa kifupi, wanaoitwa Mabeberu watakuwa wamepata mwanya au upenyo wa kuingiza agenda zao na ambazo obviously zitawagharimu watawala na chama chao kwa ujumla.

Hivyo, kuna gharama ya kulipa kitaifa na kimataifa, iwapo Mbowe atafungwa, gharama ambayo itakuwa ni gharama ya kisiasa, kiuchumi na kijamii na chama tawala ndio kita-suffer zaidi.

Madaraka bila maarifa ni maafa.

Mtakuja kuniambia.
Amina
 
Hivi si hata kuvuruga uchaguzi na wale Covid 19 mlisema serikali itakatiwa misaada kwa kuwa inakiuka demokrasia?

Je, serikali ilikatiwa misaada?
Kinachomkuta Mkenda hadi kutukanwa kama mbulula ni laana za uchaguzi. Kile kitu hadi akiteme.
 
Kwa kifupi, wanaoitwa Mabeberu watakuwa wamepata mwanya au upenyo wa kuingiza agenda zao na ambazo obviously zitawagharimu watawala na chama chao kwa ujumla.
Tutakuwa tumetangaza ugaidi wataleta vikosi vyao.
 
Back
Top Bottom