zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Pole kwa yaliyokukutaSio kulewa tuu yaani anakwenda mpaka disco na anaweka status anavyo bambiwa.
I don't know hawa watoto wana shida gani ni malezi au ndo kujiendekeza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa yaliyokukutaSio kulewa tuu yaani anakwenda mpaka disco na anaweka status anavyo bambiwa.
I don't know hawa watoto wana shida gani ni malezi au ndo kujiendekeza tu.
Ni kwamba alikuwa hivyo tangu hujawa nae. Wasioenda club wapo wewe kwanini uwe na huyo? Uchaguzi wako haukuwa sahihi...Sasa just imagine ni mtu wako katoka kaenda kufanya huo utopolo
Daaah mkuu skutegemea sasa kama ni mtu wa hivi..Mkuu hao tunaruka nao majoka tu ila sio pakuoa
Pole sana kwa yaliyokusibuNdo hawa mashaitwani waliobaki mjini hapa
Tangu nione unatumia ile kilevi kikali kwa picha na mimi hamu ilikata kama mleta mada.Njoo unibambie
Acha dada wa watu aende disco. Nenda church huko ukatafute mwingineMkuu sio kwamba sijui kuchagua.. kuna mijitu inajificha sana katika kupindi cha courtship...
Sasa huyu sijui alikua na mavi kichwani mpaka kashindwa kuwa humble kwanza..
An seriously anaweka na status yaani kagala gala chini kabisa jamni
Na mvizia ndio but daah its too disappointed aiseeeDamn!!!!
Serous kiasi hiki!!!
Msamehe bure, una uhusiano gani na yeye? Au ndio unamvizia vizia ?
Pole kwa yaliyokukuta anza kumkagua malindaDaaah mkuu skutegemea sasa kama ni mtu wa hivi..
Jana namchek naona kabisa hii mbwa imelewa sijakaa vizr nakuta utumbo wake kule tsap status just imagine
Mimi kaniharibia siku kuisema pombe ..Huko disco/club mnataka mjazane wanaume watupu. Una agenda gani wewe
Ha haaa jamani. Kilevi gani hicho? Nakunywa wine tu mieTangu nione unatumia ile kilevi kikali kwa picha na mimi hamu ilikata kama mleta mada.
Mix by Yas yake aikague vizuri maana ulevi bora mwanaume mwanamke ni mbaya akileweshwa walume wanaruka milango yoteAcha dada wa watu aende disco. Nenda church huko ukatafute mwingine
Hata mimi😅Mimi kaniharibia siku kuisema pombe ..
Pole sana kijana,Na mvizia ndio but daah its too disappointed aiseee
Ukute ana mtu wake kamwelewa kukzidiSio nivumilie hiki kitendo kinafanya mtu kushindwa kuwa na malengo nae aiseeee
Tangu lini umeambiwa wadada wanaheshimiwa?Sio kulewa tuu yaani anakwenda mpaka disco na anaweka status anavyo bambiwa.
I don't know hawa watoto wana shida gani ni malezi au ndo kujiendekeza tu.
Leo hii umesahau? Au sababu ilikuwa miaka 2 nyuma ?Ha haaa jamani. Kilevi gani hicho? Nakunywa wine tu mie
Kumbe upo windo?Too "disappointing aisee"!Na mvizia ndio but daah its too disappointed aiseee
Ulikosa mume😉..why mnapost vimiminika🤣Ha haaa jamani. Kilevi gani hicho? Nakunywa wine tu mie