Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #81
Wewe acha ushetani wako hapa alaaaaahMix by Yas yake aikague vizuri maana ulevi bora mwanaume mwanamke ni mbaya akileweshwa walume wanaruka milango yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe acha ushetani wako hapa alaaaaahMix by Yas yake aikague vizuri maana ulevi bora mwanaume mwanamke ni mbaya akileweshwa walume wanaruka milango yote
[emoji1787]mkuu mbona umeumia sana ni sister/rafiki/mpenzi wako?Am tired aiseeee...
Jitu kama hili sijui nilifanye nn aiseee inakera sna
I can't lost my time for searching something like that acha tuunifanye yangu...Pole sana kijana,
Angalia pengine.
Ahaa!..basinwewe hutoshei kwake! Wanawake tunapenda crazy boys..vya kubambia vikiwepoMrs na wewe sasa kama angekua sio mtu wangu ningekuja kulalamika hapa
Weee madam naona toka mda upo upande wake tuu WHYUkute ana mtu wake kamwelewa kukzidi
Nop hapana hapana nakataaKuna bokoharam keshamteka.Umekwisha.
Ni umri..akikua ataachaWeee madam naona toka mda upo upande wake tuu WHY
Nyoo..hutujui ehNop hapana hapana nakataa
Naiwekaaa sasa hvi mkuuPandisha hiyo status hapa jukwaani tuone ukubwa wa tatizo
Hamna kazi kabisa..Si mlisema wasichana wa 2000 ndo wakuoa jaman imekuaje Tena?
Tafuta mrembo matata,mbichi,laini ,teketekeI can't lost my time for searching something like that acha tuunifanye yangu...
Bora niwekeze kwa mashangazi tuu
Nasema hapana kwa maana mkuuNyoo..hutujui eh
"Still enough"=Funny enoughHey Demi ujaelewa kitu kimoja..
Even mi nafanya ujinga wangu but this is too much .
Hv ushawahi angalia nyimbo za visingeli.
Yupo na wahuni sijui mashisha yale anapuliza an anashikwa shikwa then useme anavumilia mm navyokua na mashangaz wakat hajawahi ni shika on target..
Still enough anatuma mpaka status..
Juzi naongea nae anasema anaenda tandika kwa mdogo wake kumbe ndo siku hiyo kaenda kulewa kumalija kule...
Mtu unamchukulia smart unapanga nae mengi tuu demi hii isikie tuu inauma huyu mtu nimewekeza sana kwake is not about money ila tu mentally nimeweka vingi kwake
Tangu nitoke na mashangazi sijawai pata kesi za hovyo ka hvi..Tafuta mrembo matata,mbichi,laini ,teketeke
Shangazi unawekeza nini?
Madam mbona mnakuwa hvi lakini ila manelewa yanayotokea huko disco"Still enough"=Funny enough
Utajenga family na shangazi's zako?Tangu nitoke na mashangazi sijawai pata kesi za hovyo ka hvi..
Hata ant dorry analewa ila huyu dogo hapana
I cant lost my time=I cant l(ose)waste my timeI can't lost my time for searching something like that acha tuunifanye yangu...
Bora niwekeze kwa mashangazi tuu
Sa heshima inahusiana vp na starehe za mtu mkuu?
Am crazy snaa sanaaa tuuAhaa!..basinwewe hutoshei kwake! Wanawake tunapenda crazy boys..vya kubambia vikiwepo