Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
mshamba_hachekwi the clout chasing documentary has began.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiongeze, nimekupa ujumbe wanawake walivyo.Nilikua nakuheshimu sana mkuu..
Ila kwa sasa acha nikwambie tuu ukweli umezingua
Unatumiaga nini?Sijawahi na sifikirii
Naweza kunywa k vant ndogo 3 ila hiyo siku nilikunywa safari kubwa 2 na hako kawineUlimix ndo maana
Unajua mkuu,watu hasa hawa masista duu huwa hawaelewi,huwa wanahisi kunywa wine ni fashion kumbe ni pombe flani yenye kilevi kikali,mfano chukulia wine pendwa yao saint Ann ina alcohol 11 au 12 kama sikosei,hiyo mtu ukipiga mbili tu lazima uzime fegi.Hivi kuna pombe inalewesha vibaya kama wine? Mimi ni mlevi wa pombe kali mchanganyiko lakini sikukuu ya mwaka mpya nilikunywa pombe zangu kiasi nikaenda nyumbani nikanywa wine glass 1½ nikalewa vibaya mpaka kesho yake asubuh nikaamka hovyo
Sasa ndo furaha yake kubambiwa..Haruhusiwi kufanya kinachomfurahisha!?
Washamba tuuUnajua mkuu,watu hasa hawa masista duu huwa hawaelewi,huwa wanahisi kunywa wine ni fashion kumbe ni pombe flani yenye kilevi kikali,mfano chukulia wine pendwa yao saint Ann ina alcohol 11 au 12 kama sikosei,hiyo mtu ukipiga mbili tu lazima uzime fegi.
Ni kweli kabisaSio kweli mwanamke yoyote mlevi kutombeka ni mwepes kama pamba 😄
Sijakuelewa hatakwani koda hapo liko wapi?
Kaka kaka ebu acha mambo yakoAcha watu wale raha..maisha ya duniani ni mafupi sana.
Afu nikuambie kitu we mlokole,hao wadada unaoona wanakunywa pombe sijui ni waenda disco,huwa hawatombeki kirahisi kama hao walokole wenzio.
Naona wamekuja et wanatetea tetea jamni iwekwe wazi tuu pombe jauKwani c ulikua useme tu kumbe ni mlevi
Najua watakuja wanywaji wajitete apa kuwa kuna wanywaji na walevi ila me w
nasema wote ni walevi tu 😄
Dah,sawa ngoja nikupe ushindi afsaSio kweli mwanamke yoyote mlevi kutombeka ni mwepes kama pamba 😄
Hii pia nilijifunza nikipata kibint kisichokunywa pombe nakidanganya kimywe juece inayoitwa wine 😁Unajua mkuu,watu hasa hawa masista duu huwa hawaelewi,huwa wanahisi kunywa wine ni fashion kumbe ni pombe flani yenye kilevi kikali,mfano chukulia wine pendwa yao saint Ann ina alcohol 11 au 12 kama sikosei,hiyo mtu ukipiga mbili tu lazima uzime fegi.
Ha ha ha hawa Gen Z huwezi wadanganya kitu afsa.Hii pia nilijifunza nikipata kibint kisichokunywa pombe nakidanganya kimywe juece inayoitwa wine 😁
Utajua hivo hvo banaMadam=Mkuu/bro/dingi
NB;Still on in panic mode your honour.
Shida yako nini wewe au ukuda tuu wa kishamba, jifunze to mind your own businessMkuu mambo mengine uwe unatumia tuu hata akili ya kuzaliwa..
Hivi starehe yako ndo ufanyiwe vitendo vya ajabu ambavyo vinaleta picha mbaya Katika jamii
Bana=bwanaUtajua hivo hvo bana
Vijana wenzako wanapambana hizo kauli achana nazo be humble, kuwa na despline sawa bloodacha wivu tafta hela
We should stay away from these things.mshamba_hachekwi the clout chasing documentary has began.
Kama kashakua ni mtu wangu yeye pia ni miongoni my business...Shida yako nini wewe au ukuda tuu wa kishamba, jifunze to mind your own business